kihedemuswede
Senior Member
- Nov 25, 2013
- 141
- 41
Karibuni sana wadau mtembelee Iringa miezi hii march na april.
Kwani kuna ulanzi kwa wingi kipindi hiki ukipatikana asubuhi mchana na jioni,maboga,mkaliifya bila kusahau matunda aina ya mitundwa na nyaadoogi.
Kwa wale waliowahi kutembelea miezi hiyo miaka iliyopita na waliopo Iringa sasa karibuni mtujuze zaidi.
Kwani kuna ulanzi kwa wingi kipindi hiki ukipatikana asubuhi mchana na jioni,maboga,mkaliifya bila kusahau matunda aina ya mitundwa na nyaadoogi.
Kwa wale waliowahi kutembelea miezi hiyo miaka iliyopita na waliopo Iringa sasa karibuni mtujuze zaidi.