Wapedwa kwa wale mlioko dar,
Nawakaribisha kwenye ufunguzi wa huduma ya Ngurumo ya Upako hapa dar es salaam, itafanyika kwenye viwanja vya Tanganyika pakers Kawe, na ibada zitakuwa zinaendelea hapo kila jumapili, Mtumishi wa Mungu Geor Davie atakuwepo kukuhudumia.
Mimi ni muumini wa kanisa hilo nawakaribisha sana mje muone ukuu wa bwana.
Nawakaribisha kwenye ufunguzi wa huduma ya Ngurumo ya Upako hapa dar es salaam, itafanyika kwenye viwanja vya Tanganyika pakers Kawe, na ibada zitakuwa zinaendelea hapo kila jumapili, Mtumishi wa Mungu Geor Davie atakuwepo kukuhudumia.
Mimi ni muumini wa kanisa hilo nawakaribisha sana mje muone ukuu wa bwana.