Karibuni sikukuu wale mpo Moro!

Karibuni sikukuu wale mpo Moro!

Blank page

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2015
Posts
5,487
Reaction score
4,817
Kama ilivyo siku nzuri kabisa ya leo imefika, tunamshukuru Allah katupa neema kote dunia sisi tulio wazima wa afya.
Ifahamike kuwa siku ya leo tunaazimisha siku, ya kufufuka Bwana wetu, Kristo Yesu! Aliyekufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu.. Napenda kuchukua fursa hii kuwakaribisha ndugu, jamaa na marafiki wa JF waliopo hapa Morogoro mjini.. Kama upo kihonda, mazimbu, mjini, forest ama viunga vingine vya mji huu. Karibu sana mtaani nyumbani, kwangu mitaa ya msufini kwa Afande sele, tusherekee pamoja sikukuu kwa kufahamiana na kutembeleana pia. Mwenyezi Mungu abariki siku nzuri hii1
 
Umeshapewa mgao wako na Lumumba wa kununua wapinzani?
Hao wapinzani wanaonunuliwa wanatoka chama gani ambacho kinaendekeza njaa kuliko kutetea wananchi?
Yaani Kama chama kina wanachama Malaya na wenye njaa kupindukia hivyo hakifai kupewa nchi, kitauza taifa.
 
Hao wapinzani wanaonunuliwa wanatoka chama gani ambacho kinaendekeza njaa kuliko kutetea wananchi?
Yaani Kama chama kina wanachama Malaya na wenye njaa kupindukia hivyo hakifai kupewa nchi, kitauza taifa.
Oooh!
 
Kama ilivyo siku nzuri kabisa ya leo imefika, tunamshukuru Allah katupa neema kote dunia sisi tulio wazima wa afya.
Ifahamike kuwa siku ya leo tunaazimisha siku, ya kufufuka Bwana wetu, Kristo Yesu! Aliyekufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu.. Napenda kuchukua fursa hii kuwakaribisha ndugu, jamaa na marafiki wa JF waliopo hapa Morogoro mjini.. Kama upo kihonda, mazimbu, mjini, forest ama viunga vingine vya mji huu. Karibu sana mtaani nyumbani, kwangu mitaa ya msufini kwa Afande sele, tusherekee pamoja sikukuu kwa kufahamiana na kutembeleana pia. Mwenyezi Mungu abariki siku nzuri hii1
peponi camp leo afande haendi?
 
Back
Top Bottom