usihofu twaja hasa bariadi.
Asante hebu tudokeze hizo fulsa specific kama ni za kujiajiri tuambie kwenye secta gani kama ni kazi gani zimetangazwa...lakini tunakuja.vijana mnaopenda kujishughulisha karibuni kwenye mikoa mipya yenye fursa lukuki za maendeleo hasa Simiyu!
vijana mnaopenda kujishughulisha karibuni kwenye mikoa mipya yenye fursa lukuki za maendeleo hasa Simiyu!