Karibuni Supu ya kichwa cha mbuzi

Quemu

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2007
Posts
984
Reaction score
133
Leo nilienda machinjioni kununua mbuzi mzima. Jamaa wakataka kunibania kichwa na mazagazaga mengine. Ikabidi niwakomalie.

Sasa hivi nipo hapa najichana supu ya kichwa cha mbuzi. Aisee sijawahi kula supu ya kichwa cha haka kanyama. Kumbe kametulia ili kinoma.....mh mh mhhhhh!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…