Karibuni tuchague aina ya muungano tuutakao, je majibu ni sawa na ya tume? Piga kura

Karibuni tuchague aina ya muungano tuutakao, je majibu ni sawa na ya tume? Piga kura

MSHINO

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,069
Reaction score
713
Watanzania wenzangu, tangu tume ya Warioba kutangaza rasimu ya katiba wengi wamekuwa wakilalamika kuwa maoni yao hayakuwa ya kweli kuhusu aina ya Muungano. baada ya kuona hilo nimefikiria nikaona tutumie tekinologia kutafuta ukweli japo hatutapata idadi yote ya watanzania basi nawaombeni tupige kura kwa kufungua link hapo chini na kuchagua aina ya Muungano unaopendelea. Ukifungua hapo chini utakuta maswali 4. yaani 1. Muungano wa serikali 1, Muungano wa Serikali 2, Muungano wa Serikali 3, na 4. Muungano usiwepo.
 
MWISHO WA KUPIGA KURA NI TAREHE 7/02/2014. majibu yatakuwa yanaonekana hadharani hapa hapa kwenye mtandao.
 
Kwa heshima yako Moderator ningekuomba uache huu uzi kule kwenye ukurasa wa siasa kwenye watu wengi, ili tupate mtazamo wa watu wengi. nafikiri jambo hili siyo baya bari ni kwa maslahi ya taifa. tafadhari mod nirudishie uzi kule.
 
Tukiacha maslahi binafsi na uchu wa madaraka.. Serikali Moja ndio mpango mzima.. Ila serikali mbili haiwezekani tena..
 
Serikali 3 Ndo suluisho la muungano achaneni na kina Dimelo wa Clouds Kuigiza kulimshinda analeta Utani na maisha ya watu/Chizi sana jamaa mi sipendi vijana wana akili zao ila ---------- na CCM kwa sababu ya njaa zao mjinga sana huyu dogo
 
Mbona Serikali ya Majimbo hamjaweka!!?..... Nashangaa mmeuacha muundo wa Serikali ya majimbo ambao ni moja kati ya mifumo thabiti ya Muungano.... Please ongezeni na Serikali ya Majimbo..
 
Serikali tatu lakini RAIS mmoja tu wa serikali ya JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA Bara na Visiwani wawe na Magavana tu.
 
Back
Top Bottom