Beibiiiiiiiiiiii
Nataka tufananeeee
Huku nikiamini one day
utanioaaaaaaaaa
Lazima niende, nirudi na sembe robo, Nachotaka unipende nipunguze wenge jogoo...
Waepuke wapambe wasilete mbwembwe mgongo...
Kwa maneno ya wembe wakate na ngede fujo...
Moyo wa chuma sina, usije nipata bure Ongeza penzi kwa kina, jumuisha na wivu Moyo wa chuma sina, usije nipata bure Ongeza penzi kwa kina, jumuisha na wivu...
Achana nao wanaopiga majungu (ah ah) Skeno mpya mi natoka na fulani...(ah ah) Nipende mimi wengine kwako wachunge (ah ah) Tumetoka mbali, ugali na karusungu...
Cc: mahondaw
I got darkness in my headSay my name say my name
If you love me let me hear you
Say my name say my name
I am dying to believe you
I feel alone in your arms
I feel you breaking my heart
Say my name say my name
If you love me let me hear you
Mrembo una jina zuri,ila sijui yake maana[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] haujawahi niangusha shosti
Nimelamba utamu wa peremende
Kanifunga kabisa na kwao twende
Akanipe vya pwani; harua tende
Kweli nimesema simwachiiii
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
One night stand sijakupenda leo tu kwa sababu tumekutanaHunywi maji yakapita
Mimi nikiguna ushafika
Jina gani hujaniita baby
Ushauri hutaki kabisa
Eti uniache Nina visa
Vya firauni na Musa vingi
Nikilala naota Kama waniita
Nafumba macho navuta shuka
Naona napumbazika
Unishikapo ndipo hapo nafarijika
Mambo yako mahaba yako
Ndiyo maana natononoka weew
Yaani kwa sauti umesema dekaa..dekaaOne night stand sijakupenda leo tu kwa sababu tumekutana
nilikupenda long time hadi hii leo nakupenda sana
nikikutazama napata hisia za kuoana
sio kukudanganya kisha nikaishia kukuoa
Baby baby nakupenda sana, nishike nikushike milele tusije kuwacha...
Baby baby nakupenda sana, nishike nikushike milele tusije kuachana...
Baki na mimi iii Wengine wanini mimi...
Naogopa maradhi ndio maana niko makini mimi...
Baki na mimi iii Wengine wani mimi Naogopa maradhi ndio maana niko makini mimi
Hm hm hm hm hm
Yeah yeah yeah yeah
From the first time that I set my eyes on you
Baby I was stuck on you
Omo me I call for you
Make my body call for you, all for you
Went back and set my dream to search for you
Looking like a dream come true
'Cause you make my dream come true
Baby I'll stand by you with
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi nishushe verse ya J Balvin au niache tu nitaambiwa najimwambafy ?? [emoji23][emoji23]I got darkness in my head
Don't believe a word you said
Still I let you in my bed, my bed
Got too many different sides
Got designer in your eyes
Something has to change tonight, tonight
Navile hujui kununa fundi wa kudekaYaani kwa sauti umesema dekaa..dekaa
Namimi najiachia
Umenipa shuru la kukuteka
Silaha umenigawia
Mbezi kimara hunipeleka mpaka mwisho hushukiii...hushukiii
Kiungo imara hunipekenyapekenya
Kwa vyangu vyuma shurti mashuti
Raha kupendwa rahaaaa..rahaaaaa kupendwa rahaaaa
Usikose la kufanya, mrembo pigania lako penzi.
Iwe hasi kwa chanya, pambana epuka simanzi.