MADAXWEYNE
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,562
- 3,380
Iyo picha ya kwenye Id pamoja na jina lako nimeipenda sana . Unaoneka mzuri sana yani njoo pm niendelee kukutongoza na kukupenda zaidiDaah, kwahiyo mimi niwasubiri wanaume wa buza sio?
[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]nimekuwa disappointed sana.
Oooh my God. .. baby your one in a millionBaby tayari nishatua, moyo wangu chukua
Penzi lako linimekolea
sijiwezi darling
Unayonipa sijazoea, sikuwachi honey
Nnapokuona mi nataka
Ongeza manjonjo mi na takataa
Sitaki mwengine we unanifaa
Tena kwa mwengine mi sinoi
Unavyo touch touch kiunoo
Unaamsha amsha yaliomo
πΆπ
Naomba urudi mrembo, huko tena usendeNarudii
Tupia vocal asee ...unaniangusha! !
Tupia vocal asee ...unaniangusha! !
Usikose la kufanya, mrembo pigania lako penzi.mimi mwenzenu nasikitika sana... ametoroka mpenzi wangu nina uchungu sana, sina hata la kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeYule alokudhurumu, baby usimkumbuke
Mungu atamuhukumu,milele ataabike
Mimi mume mkarimu,sipendi uhangaike
Penzi letu litadumu,waache wakatambike
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewe binti Paula, mwana wa PaulUkiwapa mashairi hawajibu Ushimen?
Napenda machalii wako na swagger
Huyu Rowin ni msanii nini mkuuSauti napaza, kwa uzuri wa tenzi
Japo sina kipaza, ifike kwako mupenzi
Kote nimeangaza, nikitafuta lako penzi
Kwako nimetwama, kweli penzi kikohozi
Ukipita humu usome, hizi beti kwa ajili yako
We waache waseme, wewe uko peke yako
Tena waambie wakome, waache choko choko
Barua kwenu naituma, na kesho iwe yako
Rowin njoo huku haraka sana.
Nakusubiri uje hapa......