Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nice ideaNataka nifungue Club ya Kisasa niwe nauza hizi pombe.
Eneo litakuwa safi na lenye wahudumu wazuri wenye maumbo ya kuvutia. Pia nitajali sana suala la afya kwa wahusika so katika hili nitahitaji wahudumu wawe wasafi na vyombo pia viwe visafi. Bei zake pia kidogo zitakuwa na uchangamfu siyo kama zile za Uwanja wa Fisi.
- Komoni (Comon)
- Mbege
- Togwa
- Kangala
- Chang'aa
- Kimpumu
- Wanzuki
- Mnazi
- Ulanzi
- Kibuku
Mimi nitadeal na pombe za kienyeji tu. Pia nyama choma, utumbo, ndiz na kuku nao watatumika hawa wakisasa ambapo mtu akitaka utumbo, miguu, kichwa, mbawa nk. Atapata.
Sawa nitarekebishaSio kangala ni kangara
Usisahau
Winston
Kibuku ndo Chibuku. Hii ni yetu kabisa ilikuwa na kiwanda hapa Ubungo. Sijui what happened haipo tenaMkuu umekuja na mada nzuri, ila kama kawaida wana JF wata comments vitu vya ajabu, hiyo ya mwisho, kibuku hii ni brand ya wapi? Ni ya kwetu hapa Tanzania au. Je, kuna tofauti ya brand ya kibuku na chibuku? Amini usiamini niliingia pale Alexandra, maeneo ya pan African mall kuna bar kabisa inaitwa chibuku na inauza chibuku, na more serious matter kuna entrepreneur mmoja kutoka Zimbabwe anauza hii kibuku kwenye chupa, nimeziona sana kazungula border na francis town, sasa kama hizi ni brand yetu pls TBS tukunjue makucha dhidi ya wavamizi hawa wa brand yetu.
Basi wazimbabwe wameshatuzidi kete kama walivyotufanya wakenya, hii chibuku zimbos wanapiga pesa na sisi tumelalaKibuku ndo Chibuku. Hii ni yetu kabisa ilikuwa na kiwanda hapa Ubungo. Sijui what happened haipo tena
Imeniumiza sna hii.. sisi tumelala.Basi wazimbabwe wameshatuzidi kete kama walivyotufanya wakenya, hii chibuku zimbos wanapiga pesa na sisi tumelala
Hii idea Unaweza kuichukulia utani lakini ni nzuri sana mi nipo tayari kuunga mkono kwa mtaji na ushauri zaidi wa mbinu za maboresho(win win situation).Nataka nifungue Club ya Kisasa niwe nauza hizi pombe.
Eneo litakuwa safi na lenye wahudumu wazuri wenye maumbo ya kuvutia. Pia nitajali sana suala la afya kwa wahusika so katika hili nitahitaji wahudumu wawe wasafi na vyombo pia viwe visafi. Bei zake pia kidogo zitakuwa na uchangamfu siyo kama zile za Uwanja wa Fisi.
- Komoni (Comon)
- Mbege
- Togwa
- Kangala
- Chang'aa
- Kimpumu
- Wanzuki
- Mnazi
- Ulanzi
- Kibuku
Mimi nitadeal na pombe za kienyeji tu. Pia nyama choma, utumbo, ndiz na kuku nao watatumika hawa wakienyeji ambapo mtu akitaka utumbo, miguu, kichwa, mbawa nk. Atapata.
Kuna watu wanachukulia utani? Achana nao. Sehemu gani unadhani inaweza faa? Na namna ya kuwapata wataalamu wa kutengeneza hizi pombe.Hii idea Unaweza kuichukulia utani lakini ni nzuri sana mi nipo tayari kuunga mkono kwa mtaji na ushauri zaidi wa mbinu za maboresho(win win situation).
Karibu
Hizi wataalamu wa kutengeneza nawapata wapi?Usisahau kuongezea hapo:
*Mangure
*Dadii
*Jedijedi
*Totonto
Biashara njema..
Uchafu wake nini?nielezee hapoJnauza pombe chafu alafu unasema utajali afya acha njaa hebu jitafute ww unadhani ndio wa kwanza kufikiria hivyo ila hakuna pisi itakuja kuuza comon ni ujinga
Toa sadak so kufungua kilabuNataka nifungue Club ya Kisasa niwe nauza hizi pombe.
Eneo litakuwa safi na lenye wahudumu wazuri wenye maumbo ya kuvutia. Pia nitajali sana suala la afya kwa wahusika so katika hili nitahitaji wahudumu wawe wasafi na vyombo pia viwe visafi. Bei zake pia kidogo zitakuwa na uchangamfu siyo kama zile za Uwanja wa Fisi.
- Komoni (Comon)
- Mbege
- Togwa
- Kangala
- Chang'aa
- Kimpumu
- Wanzuki
- Mnazi
- Ulanzi
- Kibuku
- Konyagi Mwitu
Mimi nitadeal na pombe za kienyeji tu. Pia nyama choma, utumbo, ndiz na kuku nao watatumika hawa wakienyeji ambapo mtu akitaka utumbo, miguu, kichwa, mbawa nk. Atapata.
Sijaona uhusiano wa ulichoandika na hoja yangu.
Waulizie watu wa kaskazini chief.Hizi wataalamu wa kutengeneza nawapata wapi?
Wataalamu wa kutengeneza kuwapata ni vijijini vya pembezoni kidogo ya mji nadhani ndio wapo wengi.Hizi wataalamu wa kutengeneza nawapata wapi?
Arusha target iwe wazungu/ na wenye nazo.Kuna watu wanachukulia utani? Achana nao. Sehemu gani unadhani inaweza faa? Na namna ya kuwapata wataalamu wa kutengeneza hizi pombe.
Yaani uuze Komoni alafu umiliki mademu wakali???Nataka nifungue Club ya Kisasa niwe nauza hizi pombe.
Eneo litakuwa safi na lenye wahudumu wazuri wenye maumbo ya kuvutia. Pia nitajali sana suala la afya kwa wahusika so katika hili nitahitaji wahudumu wawe wasafi na vyombo pia viwe visafi. Bei zake pia kidogo zitakuwa na uchangamfu siyo kama zile za Uwanja wa Fisi.
- Komoni (Comon)
- Mbege
- Togwa
- Kangala
- Chang'aa
- Kimpumu
- Wanzuki
- Mnazi
- Ulanzi
- Kibuku
- Konyagi Mwitu
Mimi nitadeal na pombe za kienyeji tu. Pia nyama choma, utumbo, ndiz na kuku nao watatumika hawa wakienyeji ambapo mtu akitaka utumbo, miguu, kichwa, mbawa nk. Atapata.