Karibuni Wapendwa Message Center

Karibuni Wapendwa Message Center

Ray M

Senior Member
Joined
Sep 23, 2012
Posts
182
Reaction score
61
Naitwa Raymond Mpendwa, kijana mjasiriamali wa kitanzania. Ningependa kuitangaza Wapendwa Massage Center kwenye Blog yako. Sisi Wapendwa ni muunganiko wa vijana wajasiriamali wa kitanzania ambao lengo letu kuu ni kutoa huduma ya Massage kwa wateja wetu pamoja na huduma nyinginezo kulingana na matakwa ya Mteja.

Tuna akina dada pamoja na akina kaka wenye uzoefu wa kimataifa wa kutoa huduma mbali mbali kuanzia Massage ya kawaida, Erotic massage na hata Intimate Service kulingana na apendavyo mteja. Gharama zetu ni nafuu.

Wapendwa wote ambao wangependa kushiriki kuipata ladha halisi ya kitanzania na wanaojijali na kujipenda wawasiliane na sisi na tutapanga Appointment.

Pia tunakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa dada na kaka zetu wenye kuiweza kazi na ambao wangependa kuwa sehemu ya Wapendwa Message Centre. Malipo ni kwa Commission.

Tuwasiliane kupitia Barua Pepe: raympendwa@yahoo.com.

N.B: Kwa maombi ya kazi tutumie CV yako kwa Barua pepe ukiambatanisha Umri, Elimu, Uzoefu wa kazi, Ujuzi wa Lugha za kimataifa pamoja na Picha mbili za rangi zenye kuonesha mwili mzima (full body photo).

Email zote zitajibiwa.

Feel the Sensational Touch.
B.T.W: Privacy is our Big Concern.
Karibuni
 
The Bosssssss

mie nataka hizi huduma zingine
 
Last edited by a moderator:
...............Tuna akina dada pamoja na akina kaka wenye uzoefu wa kimataifa wa kutoa huduma mbali mbali kuanzia Massage ya kawaida, Erotic massage na hata Intimate Service kulingana na apendavyo mteja. Gharama zetu ni nafuu.
Feel the Sensational Touch.
B.T.W: Privacy is our Big Concern.

........ hizo zenye rangi, usiniambie maelewano ya bei, sema bei kamili na mko wapi:high5:
 
Tuna akina dada pamoja na akina kaka wenye uzoefu wa kimataifa wa kutoa huduma mbali mbali kuanzia Massage ya kawaida, Erotic massage na hata Intimate Service kulingana na apendavyo mteja. Gharama zetu ni nafuu.

Ufafanuzi juu ya tofauti ya hizi huduma mbili
 
Mimi huduma nataka,si mwajua stress za kubinya keyboard siku nzima!!!! ILA WATOA HUDUMA WAWE SEXXY NA HOT sio watu ilimradi watu, nooooo! Vigezo na mahsarti vizingatiwe! Wanaume kwanza wawe na SIX PACK, Mascular, Handsome, Wananukia, Wasafiii kama DAIMONDO @ Wema Sepetu. DAMN! Siku mkizindua mkafanya promotion na mkasema DAIMONDO, ALLY KIBA na OMMY DIMPO KWA POZI watatoa HUDUMA nakuja hata ikiwa bei gani!!! Sasa hapo sijui nitamchagua yupi ANIHUDUMIE !!!! LIMAO!!!!
 
Mimi huduma nataka,si mwajua stress za kubinya keyboard siku nzima!!!! ILA WATOA HUDUMA WAWE SEXXY NA HOT sio watu ilimradi watu, nooooo! Vigezo na mahsarti vizingatiwe! Wanaume kwanza wawe na SIX PACK, Mascular, Handsome, Wananukia, Wasafiii kama DAIMONDO @ Wema Sepetu. DAMN! Siku mkizindua mkafanya promotion na mkasema DAIMONDO, ALLY KIBA na OMMY DIMPO KWA POZI watatoa HUDUMA nakuja hata ikiwa bei gani!!! Sasa hapo sijui nitamchagua yupi ANIHUDUMIE !!!! LIMAO!!!!

we unaonekana ki che che kwlkwl
 
Hii Intimate Service nadhani itanifaa, ila ingependeza ukasema location yenu na kama mtaona inafaa general price range! Yale mambo ya kuambiwa ni maelewano si mazuri wakati mwingine.
 
vicheche wa zamani walikuwa wanakula kuku, vicheche wa siku hizi wanakula baga pale Moroco.

Kongoshooo! sijui MEDULA yako inawazaga nini, so ukaona udakie hoja? Vicheche wa ukwee wanakula LOBSTER na IRANIAN CAVIER!!!!!! Upo shosti!!!! LIMAO!
 
Sasa mkuu kwanini bei usiiweke hadharani tujipange? Vipi inakuwa ya eneo maalum tu au naweza ipata huduma kutoka kwenu hata kwa kunifuata nyumbani kwangu?
 
he he he, nipo mwaya.

Hivi wanakula robusta au arabica?

Ujue robusta inalimwa zaidi Burundi, arabica ipo kwa wingi Kaskazini mwa Tanzania.

Kongoshooo! sijui MEDULA yako inawazaga nini, so ukaona udakie hoja? Vicheche wa ukwee wanakula LOBSTER na IRANIAN CAVIER!!!!!! Upo shosti!!!! LIMAO!
 
he he he, nipo mwaya.

Hivi wanakula robusta au arabica?

Ujue robusta inalimwa zaidi Burundi, arabica ipo kwa wingi Kaskazini mwa Tanzania.

Kwa jogi nimekuinulia mikono!!!!
 
watu weweeeee!sasa tangazo linanukia hivi huko ndani si balaaaa!ahahahhahhahhahah haya bwana kila la kheri kwenye ujasiriamali wenu mie ngoja niendelee na ujasiriamali wangu wa kupika supu ya pweza,karanga mbichi,supu wa kuku wa kienyeji na njegere mbichi,maziwa na tende ili wakitoka huko wawe wanapitia kwangu kupata back up services kabla ya kurudi majumbani kwao!haya wale wanafunzi wangu na wenzao wote wa aina yao wanaitwa huko kwenye ujasiriamali.
 
heading ya hii sredi imenitatiza jamani......

itabidi nije nijipatie hizo huduma za message!!!!:A S shade:
 
Mkuu Ndahani kama vile kuna mahali nilikusoma unatafuta sehemu ya massage, sasa cheki promo hii ushindwe wewe tu!! ha ha

Mleta mada Ray M,
Naona biashara yenu imelenga kwenye mchezo wa sex tu yaani mtoe erotic&intimate..hiyo massage ya kawaida una maana gani?back massage?
Je, hamna hot stone massage, pregnancy massage, aromatherapy massage(kutumia different scents kama lavender) au hata sports massage?? Kila wiki lazima niende mara moja kwa massage ila sijawahi kufikiria nipate erotic, intimate au suala lolote la happy ending kwenye massage, mmmh?!!! anyway, kila la kheri mkuu!!
 
Last edited by a moderator:
BelindaJacob, ungelijua ninavyoogopa massage wala usingesema. Ukishakuwa na mazoea nayo lazima utafute palours zilizo mafichoni, na service zake zinaenda mpaka happy endings...wewe tu na roho yako! Bado siko mbaya kiasi hicho...teh teh teh! ninaweza kupanga vizuri agenda zangu.
 
Last edited by a moderator:
mi ngoja nipite tu niendelee na ishu zangu maana mleta hoja hajajibu swali hata moja katika MATAZ ARAIZING (Matters arising) maana kila mmoja including mimi nataka jua gharama ya erotica na intimate.Ok bas sawaa
 
Back
Top Bottom