Karim Benzema apewa kifungo cha mwaka mmoja nje

Karim Benzema apewa kifungo cha mwaka mmoja nje

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Karim Benzema: Mchezaji mpira wa Ufaransa apatikana na hatia ya ulaghai kupitia kanda ya ngono. Mshambulizi wa timu ya taifa ya Ufaransa na Real Madrid, Karim Benzema amepatikana na hatia ya kula njama ya kumtusi mwanasoka mwenzake wa Ufaransa kutumia kanda ya ngono.

Jaji alimpa Benzema kifungo cha mwaka mmoja nje na kuamuru alipe faini ya €75,000 (£63,000; $84,000). Benzema alikuwa mmoja wa watu watano walioshtakiwa mwezi uliopita kwa jaribio la kumpunja fedha Mfaransa Mathieu Valbuena kutumia kanda hiyo.

Kashfa hiyo imeshangaza jamii ya soka nchini Ufaransa na wachezaji wote wawili kupoteza nafasi katika timu yao ya taifa.
 
Mbona hii kesi ni mda mrefu sana, mpaka leo ilikuwa bado mahakamani tu
 
A judge handed Benzema a one-year suspended jail term and ordered him to pay a €75,000 (£63,000; $84,000) fine.

Benzema was one of five people put on trial last month over the attempt to extort Frenchman Mathieu Valbuena.

The scandal has stunned the football community in France and both players lost their national team places.

The case dates back to June 2015, when the two footballers were at a French training camp.

At the camp, Benzema put pressure on Valbuena to pay off the blackmailers, whom he had conspired with to act as an intermediary, prosecutors said.

Benzema has always denied the allegations and insisted he was only trying to help Valbuena get rid of the compromising video.
 
kwahiyo atakua suspended kwenye national team kwa mara nyingine?
 
Sheria za ufaransa kifungo cha mwaka mmoja au chini ya hapo ni kama onyo tu, haufungwi, ila unatazamwa kwa karibu usijefanya kosa kama hilo likilokupa hukumu.
Hata hivyo wanakata rufaa
 
Karim Benzema: Mchezaji mpira wa Ufaransa apatikana na hatia ya ulaghai kupitia kanda ya ngono. Mshambulizi wa timu ya taifa ya Ufaransa na Real Madrid, Karim Benzema amepatikana na hatia ya kula njama ya kumtusi mwanasoka mwenzake wa Ufaransa kutumia kanda ya ngono.

Jaji alimpa Benzema kifungo cha mwaka mmoja nje na kuamuru alipe faini ya €75,000 (£63,000; $84,000). Benzema alikuwa mmoja wa watu watano walioshtakiwa mwezi uliopita kwa jaribio la kumpunja fedha Mfaransa Mathieu Valbuena kutumia kanda hiyo.

Kashfa hiyo imeshangaza jamii ya soka nchini Ufaransa na wachezaji wote wawili kupoteza nafasi katika timu yao ya taifa.
huyu si ustaadhi mkubwa aliyetukana taifa la israel kipindi fulani kwa kusapoti unazi hadi akafungiwa, inakuwaje sasa anapatikana kwenye mambo ya mikanda ya ngono. na si al hadji huyu, alisheenda kuhiji huyu.
 
Back
Top Bottom