Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Habari za mchana. Yaani jana nimeamini malipo na hapahapa duniani. Kuna rafiki yangu aliwahi kuja na kuishi kwangu mwaka 2018 sababu alikuwa na matatizo.
Alikaa kama mwezi, wakati wa kuondoka akaniomba kiasi cha pesa kama 500k akiahidi atanirudishia. Maisha yakaendelea. Akapata bingo maisha yake yakawa maazuri hadi akanunua usafiri etc. Kuna kipindi nikawa nauguza mama yangu nikamkumbushia ile hela, alinizungusha wee mwishowe maneno ya kejeli. Mimi nikaachana naye.
Yaani jana nikapigiwa na simu ngeni, kusikia sauti nikamuuliza kulikoni umzpotea njia. Ohh naomba tuonane. Kaja jioni karibu na nyumbani, kachoka kwelina hana usafiri. Ananihadidhia kilichompata, eti katapaliwa na rafiki yake wa karibu na anaomba nimkopeshe nauli arudi kwao. Ninamuambia sina apambane na hali yake.
Alikaa kama mwezi, wakati wa kuondoka akaniomba kiasi cha pesa kama 500k akiahidi atanirudishia. Maisha yakaendelea. Akapata bingo maisha yake yakawa maazuri hadi akanunua usafiri etc. Kuna kipindi nikawa nauguza mama yangu nikamkumbushia ile hela, alinizungusha wee mwishowe maneno ya kejeli. Mimi nikaachana naye.
Yaani jana nikapigiwa na simu ngeni, kusikia sauti nikamuuliza kulikoni umzpotea njia. Ohh naomba tuonane. Kaja jioni karibu na nyumbani, kachoka kwelina hana usafiri. Ananihadidhia kilichompata, eti katapaliwa na rafiki yake wa karibu na anaomba nimkopeshe nauli arudi kwao. Ninamuambia sina apambane na hali yake.