Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
- Thread starter
-
- #21
Nimeblock na namba yake kabisa. Si aliniblock wakati namdai hela zanguMimi mtu akiwa Hana time na MI halafu siku apate shida ajifanye ananijua ctak mazoea
Habari za mchana. Yaani jana nimeamini malipo na hapahapa duniani. Kuna rafiki yangu aliwahi kuja na kuishi kwangu mwaka 2018 sababu alikuwa na matatizo.
Alikaa kama mwezi, wakati wa kuondoka akaniomba kiasi cha pesa kama 500k akiahidi atanirudishia. Maisha yakaendelea. Akapata bingo maisha yake yakawa maazuri hadi akanunua usafiri etc. Kuna kipindi nikawa nauguza mama yangu nikamkumbushia ile hela, alinizungusha wee mwishowe maneno ya kejeli. Mimi nikaachana naye.
Yaani jana nikapigiwa na simu ngeni, kusikia sauti nikamuuliza kulikoni umzpotea njia. Ohh naomba tuonane. Kaja jioni karibu na nyumbani, kachoka kwelina hana usafiri. Ananihadidhia kilichompata, eti katapaliwa na rafiki yake wa karibu na anaomba nimkopeshe nauli arudi kwao. Ninamuambia sina apambane na hali yake.
Wewe ni me au ke?Wala sijampa, sio kwa dharau zile jamani. Bora angekuwa muu gwana akajibu kwa hekima kuwa sina
KeWewe ni me au ke?
I presumed so....
Kuna kamsemo cha kiubinafsi wa uchoyo huwa wanaambiana Vijana wakifanikiwa kwamba ukiwa na gari ambana na wenye magari, ukiwa na unaingiza 5 milioni ambana na wa five milioni... Eti mtu alikusaidia ukamwacha chini eti huyo achana nae atakushusha.... Lengo kukwepa kurudisha fadhiraHabari za mchana. Yaani jana nimeamini malipo na hapahapa duniani. Kuna rafiki yangu aliwahi kuja na kuishi kwangu mwaka 2018 sababu alikuwa na matatizo.
Alikaa kama mwezi, wakati wa kuondoka akaniomba kiasi cha pesa kama 500k akiahidi atanirudishia. Maisha yakaendelea. Akapata bingo maisha yake yakawa maazuri hadi akanunua usafiri etc. Kuna kipindi nikawa nauguza mama yangu nikamkumbushia ile hela, alinizungusha wee mwishowe maneno ya kejeli. Mimi nikaachana naye.
Yaani jana nikapigiwa na simu ngeni, kusikia sauti nikamuuliza kulikoni umzpotea njia. Ohh naomba tuonane. Kaja jioni karibu na nyumbani, kachoka kwelina hana usafiri. Ananihadidhia kilichompata, eti katapaliwa na rafiki yake wa karibu na anaomba nimkopeshe nauli arudi kwao. Ninamuambia sina apambane na hali yake.
Hahahah ni kweli usemavyo. Mimi hata aliblock simu zanguI presumed so....
Hizi cases zipo sana kwa wanawake na marafiki zao, ndo maana wanasemaga adui wa Ke ni Ke.
Kuna mchepuko wangu aliniomba hela akaanzishe business kumbe anamuombea mwenzake. Nikampa hela akampa mwenzake then mwenzake akapotea mazima. Siku ananipiga kizinga nikamuuliza khs business ndo akanambia ukweli wa mambo. Af huyo rafiki yake alikuaga ananitega tega wakati anajua natoka na mwenzie, mie sikuingilia kati sababu aliwah kuosha rungu sikumoja, nikawaachia mambo yao wamalize waowao
Sikutaka hata kumuuliza. Anataka 100kKama huko kwao nauli haizidi buku mbili mpe tu! Alafu ulimuuliza kama amekula?
Nimpe 100k , weeUmekosea we ungempa tu hiyo nauli
Karma ni mbichi haswaaHabari za mchana. Yaani jana nimeamini malipo na hapahapa duniani. Kuna rafiki yangu aliwahi kuja na kuishi kwangu mwaka 2018 sababu alikuwa na matatizo.
Alikaa kama mwezi, wakati wa kuondoka akaniomba kiasi cha pesa kama 500k akiahidi atanirudishia. Maisha yakaendelea. Akapata bingo maisha yake yakawa maazuri hadi akanunua usafiri etc. Kuna kipindi nikawa nauguza mama yangu nikamkumbushia ile hela, alinizungusha wee mwishowe maneno ya kejeli. Mimi nikaachana naye.
Yaani jana nikapigiwa na simu ngeni, kusikia sauti nikamuuliza kulikoni umzpotea njia. Ohh naomba tuonane. Kaja jioni karibu na nyumbani, kachoka kwelina hana usafiri. Ananihadidhia kilichompata, eti katapaliwa na rafiki yake wa karibu na anaomba nimkopeshe nauli arudi kwao. Ninamuambia sina apambane na hali yake.
NaamHabari za mchana. Yaani jana nimeamini malipo na hapahapa duniani. Kuna rafiki yangu aliwahi kuja na kuishi kwangu mwaka 2018 sababu alikuwa na matatizo.
Alikaa kama mwezi, wakati wa kuondoka akaniomba kiasi cha pesa kama 500k akiahidi atanirudishia. Maisha yakaendelea. Akapata bingo maisha yake yakawa maazuri hadi akanunua usafiri etc. Kuna kipindi nikawa nauguza mama yangu nikamkumbushia ile hela, alinizungusha wee mwishowe maneno ya kejeli. Mimi nikaachana naye.
Yaani jana nikapigiwa na simu ngeni, kusikia sauti nikamuuliza kulikoni umzpotea njia. Ohh naomba tuonane. Kaja jioni karibu na nyumbani, kachoka kwelina hana usafiri. Ananihadidhia kilichompata, eti katapaliwa na rafiki yake wa karibu na anaomba nimkopeshe nauli arudi kwao. Ninamuambia sina apambane na hali yake.
Ungemsaidia kumpa nauli ili ajifunze kuhusu maisha. Vibaya kulipiza kisasi. Tumuachie Mungu, yeye ndie hakimu wa haki.Wala sijampa, sio kwa dharau zile jamani. Bora angekuwa muu gwana akajibu kwa hekima kuwa sina
Halafu hana aibu kabisa.Habari za mchana. Yaani jana nimeamini malipo na hapahapa duniani. Kuna rafiki yangu aliwahi kuja na kuishi kwangu mwaka 2018 sababu alikuwa na matatizo.
Alikaa kama mwezi, wakati wa kuondoka akaniomba kiasi cha pesa kama 500k akiahidi atanirudishia. Maisha yakaendelea. Akapata bingo maisha yake yakawa maazuri hadi akanunua usafiri etc. Kuna kipindi nikawa nauguza mama yangu nikamkumbushia ile hela, alinizungusha wee mwishowe maneno ya kejeli. Mimi nikaachana naye.
Yaani jana nikapigiwa na simu ngeni, kusikia sauti nikamuuliza kulikoni umzpotea njia. Ohh naomba tuonane. Kaja jioni karibu na nyumbani, kachoka kwelina hana usafiri. Ananihadidhia kilichompata, eti katapaliwa na rafiki yake wa karibu na anaomba nimkopeshe nauli arudi kwao. Ninamuambia sina apambane na hali yake.
Ungemwambia siwezi kukukopesha kwa sababu huwa hulipi deniHabari za mchana. Yaani jana nimeamini malipo na hapahapa duniani. Kuna rafiki yangu aliwahi kuja na kuishi kwangu mwaka 2018 sababu alikuwa na matatizo.
Alikaa kama mwezi, wakati wa kuondoka akaniomba kiasi cha pesa kama 500k akiahidi atanirudishia. Maisha yakaendelea. Akapata bingo maisha yake yakawa maazuri hadi akanunua usafiri etc. Kuna kipindi nikawa nauguza mama yangu nikamkumbushia ile hela, alinizungusha wee mwishowe maneno ya kejeli. Mimi nikaachana naye.
Yaani jana nikapigiwa na simu ngeni, kusikia sauti nikamuuliza kulikoni umzpotea njia. Ohh naomba tuonane. Kaja jioni karibu na nyumbani, kachoka kwelina hana usafiri. Ananihadidhia kilichompata, eti katapaliwa na rafiki yake wa karibu na anaomba nimkopeshe nauli arudi kwao. Ninamuambia sina apambane na hali yake.