CHIEFMANGU
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 528
- 800
Nimeshangazwa sana na aina ya viongozi wa elimu mkoa wa Morogoro, nimemtembelea rafiki yangu morogoro mjini,nimekuta yupo busy kuandika mikaratasi mikuuubwa ya mpango kazi wake wa mwaka.
Namfahamu kuwa ni mtu wa kucheza na computer sanaaa, nimemuuliza inakuwaje unaandika kwa mikono, unachora kwa rula, wakati una computer na unajua kutumia? Jibu alilonipa ndo limenifanya nichokee!
Eti Afisa elimu mkoa wa Morogoro hataki watu waandae nyaraka zao kwa kutumia computer! ANATAKA WAANDIKE KWA MIKONO! Hili limenishangaza sanaaaa, yaani karne hii watu wanalazika kuandaa maazimio ya masomo Yao kwa kuandika kwa mikono??? Sasa mbona walipewa tablets nchi nzima ili ziwasaidie kurahisisha mambo,inakuwaje wanaozitumia wanafokewa, na kutakiwa kuandika kwa mikono?
Je, hii inadhihirisha ujinga wa walimu (maana hata Afisa elimu ni mwalimu) aliousema Tundu Lissu?
Nilitarajia wenginwangekuwa wakihamasishwa kutumia tehama kwenye mambo mengi ikiwemo kuandaa nyaraka za kufundishia, ili walau miaka ijayo watu watumie emails kutuma na kupokea nyaraka mbalimbali za kiofisi, ili kupunguza matumizi ya karatasi, na hatimaye kupunguza ukatili dhdi ya miti!
Tunadhibiti matumizi ya mikaa kupunguza uharibifu wa misitu, lakini upande was pili baadhi ya maafisa wa serikali wanachangia uharibifu wa misitu
Kwa kuongeza matumizi ya karatasi!
AFISA ELIMU MKOA WA MOROGORO change the move, kubali teknolojia inakua na inarahisisha kazi, tuitumie kuhimiza maendeleo ya taifa letu.
jamiiforum
Namfahamu kuwa ni mtu wa kucheza na computer sanaaa, nimemuuliza inakuwaje unaandika kwa mikono, unachora kwa rula, wakati una computer na unajua kutumia? Jibu alilonipa ndo limenifanya nichokee!
Eti Afisa elimu mkoa wa Morogoro hataki watu waandae nyaraka zao kwa kutumia computer! ANATAKA WAANDIKE KWA MIKONO! Hili limenishangaza sanaaaa, yaani karne hii watu wanalazika kuandaa maazimio ya masomo Yao kwa kuandika kwa mikono??? Sasa mbona walipewa tablets nchi nzima ili ziwasaidie kurahisisha mambo,inakuwaje wanaozitumia wanafokewa, na kutakiwa kuandika kwa mikono?
Je, hii inadhihirisha ujinga wa walimu (maana hata Afisa elimu ni mwalimu) aliousema Tundu Lissu?
Nilitarajia wenginwangekuwa wakihamasishwa kutumia tehama kwenye mambo mengi ikiwemo kuandaa nyaraka za kufundishia, ili walau miaka ijayo watu watumie emails kutuma na kupokea nyaraka mbalimbali za kiofisi, ili kupunguza matumizi ya karatasi, na hatimaye kupunguza ukatili dhdi ya miti!
Tunadhibiti matumizi ya mikaa kupunguza uharibifu wa misitu, lakini upande was pili baadhi ya maafisa wa serikali wanachangia uharibifu wa misitu
Kwa kuongeza matumizi ya karatasi!
AFISA ELIMU MKOA WA MOROGORO change the move, kubali teknolojia inakua na inarahisisha kazi, tuitumie kuhimiza maendeleo ya taifa letu.
jamiiforum