Karoline Leavitt chini ya utawala wa Trump awa Msemaji wa Ikulu ya Marekani mwenye umri mdogo zaidi

Karoline Leavitt chini ya utawala wa Trump awa Msemaji wa Ikulu ya Marekani mwenye umri mdogo zaidi

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Karoline leavitt mwenye aliyeteuliwa na Trump kuwa msemaji wa Ikulu ya Marekani katika utawala wake wa awamu ya pili ameweka rekodi ya kuwa msemaji mdogo zaidi katika nafasi hiyo.

Soma: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Karoline mwenye miaka 27, ameolewa na babu tajiri wa miaka 60 na wana mtoto mmoja kwa pamoja, pia ni MAGA lia lia, alisitisha kwenda likizo ya uzazi baada ya Trump kukoswa na risasi ili amfanyie kampeni.

20250129_092540.jpg
 
Mkuu Kuna maswali yangu huwa haujibu
Nikikuuliza unakimbia na kukacha post
 
Karoline leavitt mwenye aliyeteuliwa na Trump kuwa msemaji wa Ikulu ya Marekani katika utawala wake wa awamu ya pili ameweka rekodi ya kuwa msemaji mdogo zaidi katika nafasi hiyo.

Karoline mwenye miaka 27, ameolewa na babu tajiri wa miaka 60 na wana mtoto mmoja kwa pamoja, pia ni MAGA lia lia, alisitisha kwenda likizo ya uzazi baada ya Trump kukoswa na risasi ili amfanyie kampeni.

View attachment 3217332
Mahesabu ya Trump na Marekani wengi hawajayajua. Mkija kushtuka mtakuwa mmechelewa saana.
 
Ila kwa USA miaka 60 sio babu,

Yule Trump si ana miaka 78.
 
Back
Top Bottom