Karudi kwa kasi kuomba turudiane ila sina mapenzi nae tena

Karudi kwa kasi kuomba turudiane ila sina mapenzi nae tena

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Huyu ni msichana ambae nimekua nae kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka miwili

Pamoja na changamoto za hapa na pale za kimahusiano lakini tulijitahidi kuwa pamoja kwa kipindi chote hicho.

Kuna siku tulipishana kidogo kiswahili na mwenzangu lakini baada ya kukaa na kufikiria nikaona kabisa kwamba mimi ndie mwenye kosa sababu kuna kauli nilimtolea ambayo kwa binadamu yoyote lazima ingemuumiza.

Nilimuomba msamaha kwa ile kauli yangu lakini ni kama hakutaka kukubali msamaha wangu na badala yake alipiga kimya

As a man nikaona sio kesi nikajua tu may be mwenzangu ana option nyingine au kapata mbadala wangu.Nilifuta namba zake zote mana sikuwahi kuzikalili kichwani na kufuta picha zake zote kwenye simu yangu.

Niliondoka mazima kwenye maisha yake lakini cha ajabu baada yaa kama miezi minne juzi amenicheki na kunambia kwamba ameniota hivyo ameona anicheki.

Sasa najiuliza je amekosa mbadala au anataka tu kunijaribu kuona kama niko dhaifu kiasi gani.

Binafsi sina kinyongo nae tena ila hofu yangu ni je katika kipindi ambacho mimi na yeye hatukuwa tukiwasiliana ametembea na wanaume wangapi na naanzaje kumuamini tena

Hivi hawa viumbe wanawaza nini pindi wanapoonyesha kila dalili kwamba wanataka mahusiano yavunjike lakini baada ya muda flani unashangaa mtu anarudi ?

Mana me nilidhani kashafuta namba zangu za simu katika hiyo miezi minne ambayo hatukua tukiwasiliana kama nilivyofanya mimi kumbe kwake ni tofauti.

Kwanini hali hii huwa inatokea kwa wadada ?
 
Huyu ni msichana ambae nimekua nae kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka miwili

Pamoja na changamoto za hapa na pale za kimahusiano lakini tulijitahidi kuwa pamoja kwa kipindi chote hicho.

Kuna siku tulipishana kidogo kiswahili na mwenzangu lakini baada ya kukaa na kufikiria nikaona kabisa kwamba mimi ndie mwenye kosa sababu kuna kauli nilimtolea ambayo kwa binadamu yoyote lazima ingemuumiza.

Nilimuomba msamaha kwa ile kauli yangu lakini ni kama hakutaka kukubali msamaha wangu na badala yake alipiga kimya

As a man nikaona sio kesi nikajua tu may be mwenzangu ana option nyingine au kapata mbadala wangu.Nilifuta namba zake zote mana sikuwahi kuzikalili kichwani na kufuta picha zake zote kwenye simu yangu.

Niliondoka mazima kwenye maisha yake lakini cha ajabu baada yaa kama miezi minne juzi amenicheki na kunambia kwamba ameniota hivyo ameona anicheki.

Sasa najiuliza je amekosa mbadala au anataka tu kunijaribu kuona kama niko dhaifu kiasi gani.

Binafsi sina kinyongo nae tena ila hofu yangu ni je katika kipindi ambacho mimi na yeye hatukuwa tukiwasiliana ametembea na wanaume wangapi na naanzaje kumuamini tena

Hivi hawa viumbe wanawaza nini pindi wanapoonyesha kila dalili kwamba wanataka mahusiano yavunjike lakini baada ya muda flani unashangaa mtu anarudi ?

Mana me nilidhani kashafuta namba zangu za simu katika hiyo miezi minne ambayo hatukua tukiwasiliana kama nilivyofanya mimi kumbe kwake ni tofauti.

Kwanini hali hii huwa inatokea kwa wadada ?
Learn the game bro.
Every woman will shit test you to see if you are confident enough. Sanasana nimegundua uki-invest sana kwa mwanamke kuliko yeye kufanya chochote, atafeel bored, atafeel you are needy so wanapull back.

Sometimes wakipull back wanakuwa na options tayari ya kukureplace ila option ikifeli ndo wanarudi kwa kuwa wanakujua wewe ni nice guy hutakataa.

Mwanamke yeyote mwenye drama hafai kuwa mke wa mtu.
 
Learn the game bro.
Every woman will shit test you to see if you are confident enough. Sanasana nimegundua uki-invest sana kwa mwanamke kuliko yeye kufanya chochote, atafeel bored, atafeel you are needy so wanapull back.

Sometimes wakipull back wanakuwa na options tayari ya kukureplace ila option ikifeli ndo wanarudi kwa kuwa wanakujua wewe ni nice guy hutakataa.

Mwanamke yeyote mwenye drama hafai kuwa mke wa mtu.
Asante
 
Huyu ni msichana ambae nimekua nae kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka miwili

Pamoja na changamoto za hapa na pale za kimahusiano lakini tulijitahidi kuwa pamoja kwa kipindi chote hicho.

Kuna siku tulipishana kidogo kiswahili na mwenzangu lakini baada ya kukaa na kufikiria nikaona kabisa kwamba mimi ndie mwenye kosa sababu kuna kauli nilimtolea ambayo kwa binadamu yoyote lazima ingemuumiza.

Nilimuomba msamaha kwa ile kauli yangu lakini ni kama hakutaka kukubali msamaha wangu na badala yake alipiga kimya

As a man nikaona sio kesi nikajua tu may be mwenzangu ana option nyingine au kapata mbadala wangu.Nilifuta namba zake zote mana sikuwahi kuzikalili kichwani na kufuta picha zake zote kwenye simu yangu.

Niliondoka mazima kwenye maisha yake lakini cha ajabu baada yaa kama miezi minne juzi amenicheki na kunambia kwamba ameniota hivyo ameona anicheki.

Sasa najiuliza je amekosa mbadala au anataka tu kunijaribu kuona kama niko dhaifu kiasi gani.

Binafsi sina kinyongo nae tena ila hofu yangu ni je katika kipindi ambacho mimi na yeye hatukuwa tukiwasiliana ametembea na wanaume wangapi na naanzaje kumuamini tena

Hivi hawa viumbe wanawaza nini pindi wanapoonyesha kila dalili kwamba wanataka mahusiano yavunjike lakini baada ya muda flani unashangaa mtu anarudi ?

Mana me nilidhani kashafuta namba zangu za simu katika hiyo miezi minne ambayo hatukua tukiwasiliana kama nilivyofanya mimi kumbe kwake ni tofauti.

Kwanini hali hii huwa inatokea kwa wadada ?
Kusamehe ni jambo moja, kuendelea kuamini ni Jambo lingine. Take care mapenzi
 
Akijileta we piga mashine tu, alafu mpotezee kwaiyo miezi minne kashapigwa Sana mashine si chini ya wanaume 10. Alafu wame mtupia mbali ndio amekukumbuka wewe.
 
Kwaiyo J umekuja kunisema na huku tena, Mimi nikajua utaishia status[emoji2957] na kile kijembe cha nyimbo ya mbosso unaniita mimi Kunguru hujaridhika[emoji23][emoji23]
 
kwani wewe bado hujam replace tu Mkuu, au unataka ku cheat naye tu? 🤔
 
Back
Top Bottom