Multdealer
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 226
- 232
Kuna fiesta itamuhusu bwana konde mvulanaMawingu washaanza kujisogeza kwa kondeboy.
[emoji848][emoji848][emoji848]Clouds kwa kutapatapa hawajambo naona wasafi wanawapa tumbo joto.
Kweli kabisa.According to ile interview ya platnumz. moja ya chazo cha bifu la mawingu na wasafi.si ilkua kuhusu uyu dogo kutaka kutumiwa na mawingu Fm kwa masrahi madogo..[emoji848]
True say fundi,konde mvulana ni real fighterKwa hyo kiba watamtupa na kuanza kumpa promo la nguvu konde boy ?
Ila konde boy anajituma kuliko lile bwenyenye la kkoo
mmmh.,....[emoji848][emoji848]According to ile interview ya platnumz. moja ya chazo cha bifu la mawingu na wasafi.si ilkua kuhusu uyu dogo kutaka kutumiwa na mawingu Fm kwa masrahi madogo..[emoji848]
Wanasema ''huishia ukingoni''Mbio za sakafuni
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] au imejipost.Account imehackiwa si bure...la sivyo....
Afu daily wanajifanya ku-preach mshikamanoDunia simama nishuke! hii ndio Tz nchi yenye wanafiki zaidi..[emoji41]
Karibu sana bossSawa