Huyu alifukuzwa upadri baada ya kula waumini.View attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Kigogo kasemaje kuhusu hilo la Karugendo?View attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Mimi nitaendelea tu siku zote kuwaombea njaa ya kugawana hiki chama chenu, then tuanze upya kama Taifa. Na kama mtanusurika na vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kugombania madaraka ndani ya chama chenu kabla ya 2025, basi itachukia miaka mingi mbele hiki chama chenu kuja kufa rasmi.View attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Labda na yeye Muamala umesomaKama yeye Karugendo anashirikiana na wezi na mafisadi no kwa upande wake yeye sisi asituambie huo upuuzi
Huyu alifukuzwa upadri baada ya kula waumini.
Bashiru waa kipindi ya Jk ni tofauti na wa kipindi cha meko.
Karugendo apige kimya
Takukuru wakipeleka report ya bOt ajue kabis bashiru anaenda lock up
Ni kweli na huu ni muda muafaka kwa CAG kwenye kufanya kama alivyoagizwa na Mama juu ya hili.siasa za fitna hazinaga maisha marefu.
Nimekubali mkuu lazima mgao umepitaLabda na yeye Muamala umesoma
Chama kipo salama shida ni miluzi imekuwa mingi mpaka anaepaswa kuunganisha watu anachagua upande.Mimi nitaendelea tu siku zote kuwaombea njaa ya kugawana hiki chama chenu, then tuanze upya kama Taifa. Na kama mtanusurika na vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kugombania madaraka ndani ya chama chenu kabla ya 2025, basi itachukia miaka mingi mbele hiki chama chenu kuja kufa rasmi.
Bashiru ajachukua pesa yoyote, pesa ya serikali tena billions of money haitoki kama imewekwa kwenye sanduku.Mwenye uhakika kuwa Bashiru kachukua pesa aende mahakamani , Raisi kasema hazina ichunguzwe , tusubiri majibu ...kama atakuwa anatuhuma it is Okey awajibishwe , kama hajachukua basi hekima ya Raisi itende vyema ....kumtuhumu mtu bila Ushahidi ni ujuha mwingine