hii nimeikuta kwa michuzi nikawa nnajiuliza hapa anawaaasa kuhusu kuanza kwa kampeni kuwa waanze za kistaarabu, au anawaambia jamani msikubali nchi yenu kurudi tena kwenye mifarakano au nn ?
mi nazani anawambia msikubali, WaTaNGANYIKA kuitawala NCHI YETU YA ZANZIBAR kwa kisingizio cha Muungano, kama noma na iwe noma mpaka kieleweke :becky: 😛layball: