Kasha la maziwa ya Dar Fresh

Hivi huwa hawahakiki kwanza kabla ya kuziweka hizo bidhaa sokoni au wote waliopo huko Dar Fresh ni vilaza?
Ni bora wangeandika kwa Kiswahili, makosa yapo kila sentences kwenye hilo box au kasha la maziwa, πŸ˜€πŸ˜€me had team πŸ™‚up with the Nyani Ngabu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€kusema ni bora waachane na hizi lugha zilizokuja na majahazi. Anyway, English is not our language ni lugha ya kujifunza tusiwalaumu sana. Ni bora kuikuza lugha yetu ya Kiswahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…