Ni bora wangeandika kwa Kiswahili, makosa yapo kila sentences kwenye hilo box au kasha la maziwa, ππme had team πup with the Nyani Ngabuπππkusema ni bora waachane na hizi lugha zilizokuja na majahazi. Anyway, English is not our language ni lugha ya kujifunza tusiwalaumu sana. Ni bora kuikuza lugha yetu ya Kiswahili