Kashata za ufuta na bisi simple

Kashata za ufuta na bisi simple

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hope mko poa

mshamba_hachekwi aliomba nipike kashata so leo morng nikaenda mjini nikatafute mahitaj yangu nikaona ufuta nikakumbuka

Wakati nanunua vitu bhna si nikakutana na wamasai wakanilazimisha kununu roshoro nikasema sijawai kunywa ah nikaona isiwe kesi nikachukua nilishindwa nikaomba sukari muuzaji ananicheka ila sikumaliza muda haukua rafiki
1739627298891.jpeg

Mahitaji ya ksahata za ufuta ni
Ufuta
Sukari
Mahitaji ya bisi
Maindi ya bis
Chumvi
Mafuta

Kwanza anza kuosha ufuta wako vizuri tu
1739627439193.jpeg
Baada ya hapo nikaubabua yaani kuunga ili maji yakauke mda wa kuanika sikuwa nao wengine hawausafishi
1739627505460.jpeg

Baada ya hapo chukua sukari weka. Kwenye sufuria yako hakikisha haina maji
1739627601269.jpeg

Mpaka ukiona imekuwa urojo tu kama hivi moto weka mdogo kama hivi
1739627649362.jpeg

Baada ya hapo weka ufuta wako kidogo kidogo
Baafa ya hapo ipua ipoe ukiona ishaanza kupoa anza kutengeneza duala kama hivi
1739627744100.jpeg
Baada ya hapo weka kwenye hewa ili zishike vizuri kama hivi
1739627785438.jpeg

Tuje kwenye bisi
Weka mafuta kwenye sufuria na maindi yako special ya bisi na chumvi
1739627861153.jpeg

Baada ya hapo weka moto mdogo funika mimi nilikuwa natafuta mfuniko nikakosa nikaamua nifunike na sufiria
1739627919197.jpeg

Baada ya dakika moja zinakuwa teyari ukizidisha utaunguza
1739627969288.jpeg

Hivyo vyote nimetumia 3000 kijana unaweza uza ukapata na faida ukapata pesa ya vocha
 
Hope mko poa

mshamba_hachekwi aliomba nipike kashata so leo morng nikaenda mjini nikatafute mahitaj yangu nikaona ufuta nikakumbuka

Wakati nanunua vitu bhna si nikakutana na wamasai wakanilazimisha kununu roshoro nikasema sijawai kunywa ah nikaona isiwe kesi nikachukua nilishindwa nikaomba sukari muuzaji ananicheka ila sikumaliza muda haukua rafiki
View attachment 3237073
Mahitaji ya ksahata za ufuta ni
Ufuta
Sukari
Mahitaji ya bisi
Maindi ya bis
Chumvi
Mafuta

Kwanza anza kuosha ufuta wako vizuri tu
View attachment 3237074Baada ya hapo nikaubabua yaani kuunga ili maji yakauke mda wa kuanika sikuwa nao wengine hawausafishi
View attachment 3237076
Baada ya hapo chukua sukari weka. Kwenye sufuria yako hakikisha haina maji
View attachment 3237077
Mpaka ukiona imekuwa urojo tu kama hivi moto weka mdogo kama hivi
View attachment 3237078
Baada ya hapo weka ufuta wako kidogo kidogo
Baafa ya hapo ipua ipoe ukiona ishaanza kupoa anza kutengeneza duala kama hivi
View attachment 3237079Baada ya hapo weka kwenye hewa ili zishike vizuri kama hivi
View attachment 3237081
Tuje kwenye bisi
Weka mafuta kwenye sufuria na maindi yako special ya bisi na chumvi
View attachment 3237082
Baada ya hapo weka moto mdogo funika mimi nilikuwa natafuta mfuniko nikakosa nikaamua nifunike na sufiria
View attachment 3237084
Baada ya dakika moja zinakuwa teyari ukizidisha utaunguza
View attachment 3237085
Hivyo vyote nimetumia 3000 kijana unaweza uza ukapata na faida ukapata pesa ya vocha
Pole nje ya mada, lakini tutafanyaje sasa

View: https://youtube.com/shorts/pC-fjd7pKBw?si=Vcu6kTrjXdT690gD
 
Anza kurecord video mzee baba.

Mahitaji:

1. Simu yoyote yenye kuchukua video vizuri (iPhone kuanzia 11 kwenda mbele itafaa zaidi, set 4K resolution, 30fps)

2. Stend ya kushika simu. Ikiwa over the head ndio poa.

3. Source ya mwanga. Kama unapikia nje tumia jua tu kama unapikia ndani tafuta source kubwa ya mwanga au ata kama upo jiran na dirisha unaweza ukakifungua likawa source.
 
Anza kurecord video mzee baba.

Mahitaji:

1. Simu yoyote yenye kuchukua video vizuri (iPhone kuanzia 11 kwenda mbele itafaa zaidi, set 4K resolution, 30fps)

2. Stend ya kushika simu. Ikiwa over the head ndio poa.

3. Source ya mwanga. Kama unapikia nje tumia jua tu kama unapikia ndani tafuta source kubwa ya mwanga au ata kama upo jiran na dirisha unaweza ukakifungua likawa source.
Nataman sana ila nikiingia mtandaoni tu mfano tiktok live italeta shida
 
Ngoja katikat ya wiki nijaribu
yan naupenda huo mkate coz hitumii mafuta ni ww na nazi yako unga wangano chumvi na huo ufuta kizaazaa ni namna ya kuuoka zanzibar wakat flan nilienda ulikua ni my fav huku nilipo had nipige sim moja chap nyumban nipikeni naipitia ila mm unanishinda
 
yan naupenda huo mkate coz hitumii mafuta ni ww na nazi yako unga wangano chumvi na huo ufuta kizaazaa ni namna ya kuuoka zanzibar wakat flan nilienda ulikua ni my fav huku nilipo had nipige sim moja chap nyumban nipikeni naipitia ila mm unanishinda
Changamoto kwangu itakuwa jiko la mkaa
 
Back
Top Bottom