Barabara 18
Chanzo cha yote ni Zitto lakini watu wana spin hapa kumtupia lawama Nchimbi.
Mimi namshangaa sana Mwanakijiji, yeye ndiye alikuwa mstari wa mbele kumtetea Zitto akidai "mnaotaka Zitto aseme je aseme nini" na utetezi usio na kichwa wala miguu lakini walio na macho waliona sina haja ya kurudia ( rejea thread ya wakubwa na marupurupu) Ironically wazazi wa marehemu time and again wanasisitiza mapenzi wa mungu yamepita na hakuna foul play, cha kushangaza huyu Mwanakijiji analazimisha ( though by implication) kila mtu hapa akubali kuwa Nchimbi ndiye anahusika moja kwa moja na kifo cha AC. Hii ni hatari sana kwa ustawi wa familia na jamii kwa ujumla, sumu anayoeneza mwanakijiji ni mbaya sana. Mara ooh Scotland yard mara ugonjwa Waziri Kayombo kuna mkono wa Nchimbi na upuuzi kibao, bro watch out unapanda mbegu mbaya sana.
Amina kafia hospitali na sio kwa mganga wa kienyeji, standard procedure kunakuwa na postmortem na results watakuwa nazo ndugu wa marehemu ambao wanasema point blank kuwa hakuna foul play. Watu wana question mpaka uwezo wa muumba kuchukua mja wake eti haiwezekani 26 yrs old akafa kwa sukari! sijui mnapata wapi hiyo wanakufa watoto wadogo kwa sukari sembuse 26 yrs old. Mnalundika ma conspiracy theories kibao, mara genge wa wauza dawa za kulevya, mara karogwa, mara Nchimbi which is which sasa? spinning tu.
Hii tabia ya kutafuta ujiko kutoka kwa marehemu haifai jamani, kwani ule mradi wa Ukraine umeishia wapi? there is alot ujiko there, what abt petition Msolla ajiuzuru? mwacheni Amina apumzike.
Mnataka kumtumia Amina mpaka ktk umauti wake kwa manufaa yenu ya kisiasa its really sad.