johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wote timu lumumba hiyo tabia wamerithi kwa mwenyekiti wao aliekula rambirambi za wahanga wa tetemeko kagera,kwahiyo ufisadi wa rambirambi ccm ni kipawa wamejaliwa na munguSteve Mengele amesema yeye hajala hela za rambirambi za msiba wa Agnes Masogange bali fedha hizo zimehifadhiwa na wanakamati wake kwani yeye alikuwa ni mwenyekiti tu. Kamati aliyounda ilikuwa na watu watatu ambao ni Wolper, Shilole na aunt Ezekiel ambao ndio wanatunza hizo sh. milioni 2 zilizosalia. Source Clouds tv!
hahaaaaa haaahaWote timu lumumba hiyo tabia wamerithi kwa mwenyekiti wao aliekula rambirambi za wahanga wa tetemeko kagera,kwahiyo ufisadi wa rambirambi ccm ni kipawa wamejaliwa na mungu
Zimehifadhiwa nyumbani kwa akina Uchebe!Si wamfungulie account kama hawaamini ndugu.
Wote Team lumumba hao Duh.....
Ova
Hivi steve ameacha kula fedha za rambirambi?Team lambalamba wataziacha salama hahaaaaaa wengine pampasi wengine wanjaaaa
Hawezi kuachaHivi steve ameacha kula fedha za rambirambi?
Kweli na bado wanampangaHawezi kuacha