Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unashindwa nini kumwambia mama yako sihitaji uniingilie kwenye mambo yangu binafsi mpaka unakuja huku kutaka ushauri?
Ohoooooooooo, i am in trouble..plzz heeellllppp!! Tumekuchagulia mabinti wawili..uje uangalie yupi anakufaa uoe..mabinti wa huko mjini wahuni na matapeli tu...Ohoo..nifanyaje wadau??
.Kama una mpenzi tayari, mwambie mama samahani tayari nina mchumba ila nitakuja kuongea na wewe kuhusu mpango wa ndoa, ila kama huna, wamekurahisishia kazi, nenda kaangalie kama wanakufaa na wana upeo wa kutosha kuishi na wewe na pia kama wana elimu japo ile ya awali!. Kumbuka kuwa upeo wa mwanamke ni muhimu sana anapohamia mjini vinginevyo atakuja kukutana na mapapaa na masharobaro akazibuka na kuanza kukusumbua.
Binafsi si-recommend kuoa kijijini kwa sababu ya mazingira, tamaduni, life style, norms, institutions nk kuwa tofauti mno na mjini kitu ambacho kinaweza kuchangia ndoa kutokudumu.