Kama una mpenzi tayari, mwambie mama samahani tayari nina mchumba ila nitakuja kuongea na wewe kuhusu mpango wa ndoa, ila kama huna, wamekurahisishia kazi, nenda kaangalie kama wanakufaa na wana upeo wa kutosha kuishi na wewe na pia kama wana elimu japo ile ya awali!. Kumbuka kuwa upeo wa mwanamke ni muhimu sana anapohamia mjini vinginevyo atakuja kukutana na mapapaa na masharobaro akazibuka na kuanza kukusumbua.
Binafsi si-recommend kuoa kijijini kwa sababu ya mazingira, tamaduni, life style, norms, institutions nk kuwa tofauti mno na mjini kitu ambacho kinaweza kuchangia ndoa kutokudumu.