Mi nipo tu ndugu yangu. Nilikua likizo ila sasa nimerudi.Duh Mwali bwana siku nyingi no see jamvini upo?Niko busy lakini nimeshindwa kujizuia kukusalimia,hi
Mi nipo tu ndugu yangu. Nilikua likizo ila sasa nimerudi.
Mzima wewe? Uko busy na shughuli gani nije kukusaidia?
Ya kweli haya kaka Kaizer au kuna sababu nyingine?
Nilitaka kujua kama hayo hapo in bold
yanahusiana na mada kabla ya kumjibu
yawezekana silent mode haimuudhi yeye
precisely because hana partner (could be)
Na kwa nini aliweka hayo maneno hapa?
Is there a link with the topic discussed???
How....hoe is a garden tool.
not garden tool plz...its the digging tool!
a garden tool with a long handle and a blade, used for breaking up soil and removing weeds (= plants growing where they are not wanted)
Source
New style kutafuta mpenzi mwayego! Hujasituka tu kuwa kaona so kuwekamo kule lav konect? Bluetooth yake iko on...teh!
kweli kabisa, huku kwetu ni la kupeleka shambani, tena sio ka vegetable garden, ni shamba la maekari hasa!Per Merriam-Webster
Per Oxford Advanced Learner's Dictionary
So come again.
kumbe tuko wengi,Mimi pia ni mmoja wa watu wanaochukia mlio wa simu hivyo simu yangu muda mwingi iko kwenye vibration. Huwa nahisi kama nawaboa watu simu yangu ikiita kwa sauti.
Nadhani nimekuwa influenced na kukaa kwenye nchi ambayo norms zinakataza mtu kuacha simu yake ilie kwa sauti akiwa kwenye public transport achilia mbali kwenye vikao.
Hivyo sioni tatizo simu ikiwa silent mode...ni juu ya mwenye simu kama atajua kama simu yake ikiita. I prefer vibration kuliko silent mode