Kashidwa kuchagua adhabu baada ya kufumaniwa na mke wa mtu

Daah,hiyo ni moja ya adhabu kali duniani
 
Mimi nasema asilimia 97%wasufiche wangechagua kufumuliwa marinda
 
Ngoja nitafakari kwanza
 
....baadhi wanasema bora kufa apoapo ikipitishwa hukumu ya kiislamu ya kupigwa mawe adi afe au bakora 100, waislamu wataonekana magaidi..duuh binadamu sisi..
 
Jamaa ni shujaa sana, vijana wanaosema bora tigo kwa mwanaume n fedheha kuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…