Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wakuu, nipo Dodoma kwenye kongamano la Tathmini na Ufuatiliaji lililoratibiwa na Tanzania Evaluation Association.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema zoezi la anuani za makazi limefanikiwa kwa 85% na amesema zoezi la sensa litafanyika kielektronik hadi huko kijjijini. Japo sijaelewa ni namna gani iliyopo ambaye inatajwa kuwa ni ya kielektronik.
Kikubwa ameshaaga, ndio anaondoka sisi tuendelee na kongamano.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema zoezi la anuani za makazi limefanikiwa kwa 85% na amesema zoezi la sensa litafanyika kielektronik hadi huko kijjijini. Japo sijaelewa ni namna gani iliyopo ambaye inatajwa kuwa ni ya kielektronik.
Kikubwa ameshaaga, ndio anaondoka sisi tuendelee na kongamano.