Rcrusso Jr
Senior Member
- Jul 26, 2020
- 184
- 421
Nikiwa kama mwananchi eneo hilo (Kasino Kwa Msango Gulani) Tafadhali tunaomba Serikali iingilie kati mana viongozi wanashindwa tusaidia hili, tuna ukosefu wa maji kwa miezi miwili kasoro sasa na ubaya ni kwamba bill zinakuja ila maji hayafiki tupo kama jangwani sasa.
Hakuna yoyote anaeongelea.
Msaada please. Tunateseka mno. DAWASA na serikali kwa ujumla au mkuu wa mkoa aingilie.
Hakuna yoyote anaeongelea.
Msaada please. Tunateseka mno. DAWASA na serikali kwa ujumla au mkuu wa mkoa aingilie.