Kaskazini wagomea rasimu kanuni mpya LATRA

Kaskazini wagomea rasimu kanuni mpya LATRA

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe. Amos Makalla ni shahidi mwaminifu kwenye hilo.

Kaskazini mwanzo mzuri. Hakuna kurudi nyuma. Na mkikaza inavyopaswa, pana watu vibarua vitaota nyasi.

Kwamba ukaguzi wa magari au inatakiwa pesa kwa mtindo ule ule wa kariakoo? Kwani Kariakoo walikitanzua je kitendawili hiki?

FuigCVOXoAEAeqR.jpeg


Wasafirishaji mnayo hiari ya kuzikataa au kuzikubali tozo hizi mpya kama walivyoridhia wale mabingwa wa katiba mpya walivyoridhia kuipewa, ma CCM yatakapojisikia.

Kaskazini wagomea rasimu kanuni mpya Latra

Hawa huanza hivi hivi mabasi ukaguzi 90,000/- mara mbili kwa mwaka. Kina yakhe wakikenua Kwa maanq hayawahusu.

Ghafla ukaguzi ni Kwa kila gari 50,000/- mara 2 kwa mwaka. Hapo sasa kilio na kusaga meno.

Ft_T3vSX0AAN35L.jpeg


Tuungane kukataa tozo.

Inawezekana!

Shikamoo Kariakoo.
 
Mbona hawahimizi serikali itengenezi barabarA kiwango Cha LAMI kwenda vijijini ili kuongeza root za magari ili gar zifanye biashara maeneo mengi.

Ila hao wangese,wanajikita kwenye nafasi ya KUNGUNI kazi kunyonya tu.
Shwaini,hapo watu bila KUJIKARIAKOO warahi tutaendelea kuwalisha hao mbweha mpaka kufa kwao na vizazi.

Kazi zenyewe Kama huna uncle kule,utasikilizia magazetini tu
 
Mbona hawahimizi serikali itengenezi barabarA kiwango Cha LAMI kwenda vijijini ili kuongeza root za magari ili gar zifanye biashara maeneo mengi.

Ila hao wangese,wanajikita kwenye nafasi ya KUNGUNI kazi kunyonya tu.
Shwaini,hapo watu bila KUJIKARIAKOO warahi tutaendelea kuwalisha hao mbweha mpaka kufa kwao na vizazi.

Kazi zenyewe Kama huna uncle kule,utasikilizia magazetini tu

Tatizo kubwa la mtanzania ni wivu wa kijinga na chuki dhidi ya wanayemdhani ana vitega uchumi.

Kwamba mwenye basi ni kunguni anaye kunyonya wewe? Anakumyonya nini ndugu huyo. Hao mbona ni waganga njaa kama wengine tu? Mwenye mabasi gani kadumu akiwapo?

Yako wapi Scandinavia, Dar Lux au fresh ya shamba?

Kuwaongezea tozo watu hawa unaona ni sawa ila wahimize serikali kujenga barabara? Kwani kunguni serikali hao hawana macho hadi kusubiria kuhimizwa tu huku wakiongeza Kodi na tozo kila uchao?
 
Hii spirit ya migomo naona kama inaanza kuingia kwenye DNA za mtanzania taratibu, leo anagoma huyu, yule akiona mwenzake aligoma akapewa haki yake, nae anagoma atapoona haki yake imekandamizwa, mwishowe tutaamka wote kwa umoja wetu kufanya ule mgomo mkubwa wa kitaifa kuwakataa waliotuletea matatizo yasiyokwisha miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru.
 
Mbona hawahimizi serikali itengenezi barabarA kiwango Cha LAMI kwenda vijijini ili kuongeza root za magari ili gar zifanye biashara maeneo mengi.

Ila hao wangese,wanajikita kwenye nafasi ya KUNGUNI kazi kunyonya tu.
Shwaini,hapo watu bila KUJIKARIAKOO warahi tutaendelea kuwalisha hao mbweha mpaka kufa kwao na vizazi.

Kazi zenyewe Kama huna uncle kule,utasikilizia magazetini tu
Wewe ambaye huna hata baiskeli ya mbao leo unazungumzia kwa authority just ya usafirishaji wa mabasi.
Unajua hata basi moja linauzwa bei gani?
 
Tatizo kubwa la mtanzania ni wivu wa kijinga na chuki dhidi ya wanayemdhani ana vitega uchumi.

Kwamba mwenye basi ni kunguni anaye kunyonya wewe? Anakumyonya nini ndugu huyo. Hao mbona ni waganga njaa kama wengine tu? Mwenye mabasi gani kadumu akiwapo?

Yako wapi Scandinavia, Dar Lux au fresh ya shamba?

Kuwaongezea tozo watu hawa unaona ni sawa ila wahimize serikali kujenga barabara? Kwani kunguni serikali hao hawana macho hadi kusubiria kuhimizwa tu huku wakiongeza Kodi na tozo kila uchao?
Labda umenielewa vibaya ndugu,me nawasema hao LATRA.
Maana hawaangalii upande wa wenye magar either changamoto gani wanapitia
 
Hata Kama,sie tunaumizwa na nauri za mizigo yetu.

Maana hizo ghalama sisi walaji was mwisho ndo tunazibeba.

Kwa hiyo ninyi walaji wa mwisho hamna tatizo nazo? Kwa hiyo kariakoo mlaji wa mwisho siye aliyekuwa akilipa?
 
Hii spirit ya migomo naona kama inaanza kuingia kwenye DNA za mtanzania taratibu, leo anagoma huyu, yule akiona mwenzake aligoma akapewa haki yake, nae anagoma atapoona haki yake imekandamizwa, mwishowe tutaamka wote kwa umoja wetu kufanya ule mgomo mkubwa wa kitaifa kuwakataa waliotuletea matatizo yasiyokwisha miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru.

Ni aibu kama CDM wataamka mwisho baada ya watu wote kuamka.

Walisema usimwamshe aliyelala!
 
Mbona hawahimizi serikali itengenezi barabarA kiwango Cha LAMI kwenda vijijini ili kuongeza root za magari ili gar zifanye biashara maeneo mengi.

Ila hao wangese,wanajikita kwenye nafasi ya KUNGUNI kazi kunyonya tu.
Shwaini,hapo watu bila KUJIKARIAKOO warahi tutaendelea kuwalisha hao mbweha mpaka kufa kwao na vizazi.

Kazi zenyewe Kama huna uncle kule,utasikilizia magazetini tu
Wanaume wa mikowani siku hizi mnatuangusha sana,mkishindwa kufanya mgomo Kama ule wa Kariakoo basi inabidi wote muhamie Burundi!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo kubwa la mtanzania ni wivu wa kijinga na chuki dhidi ya wanayemdhani ana vitega uchumi.

Kwamba mwenye basi ni kunguni anaye kunyonya wewe? Anakumyonya nini ndugu huyo. Hao mbona ni waganga njaa kama wengine tu? Mwenye mabasi gani kadumu akiwapo?

Yako wapi Scandinavia, Dar Lux au fresh ya shamba?

Kuwaongezea tozo watu hawa unaona ni sawa ila wahimize serikali kujenga barabara? Kwani kunguni serikali hao hawana macho hadi kusubiria kuhimizwa tu huku wakiongeza Kodi na tozo kila uchao?
Ukitaka kuishi Nchi hii kwa amani bila haya Makodikodi,wwe usimiliki chochote kile lakini ukimiliki hata baiskeli hao watoza ushuru wako mlangoni kwako wanataka Kodi ya baiskeli yako!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka nyie chadema ndo tatizo mnapenda vurugu vurugu Sana...mna usela usela mwingi Sana....,Sasa mnapinga tozo wakati mnachukua Ruzuku, hzo hela za ruzuku mnadhani zinatoka wapi si kwenye tozo hzohzo. Mnafkir Kama watoto🚮
 
Bila shaka nyie chadema ndo tatizo mnapenda vurugu vurugu Sana...mna usela usela mwingi Sana....,Sasa mnapinga tozo wakati mnachukua Ruzuku, hzo hela za ruzuku mnadhani zinatoka wapi si kwenye tozo hzohzo. Mnafkir Kama watoto🚮

Kwa akili yako fupi unadhani tozo hizi wewe hazikuhusu. BIla shaka hata jamaa wa kariakoo waliposimama imara hadi Makalla kunzishwa mbele kwa mbele Bado huelewi unadhani haikukuhusu.

Kingine ni kuwa ni kawaida kwa walamba asali, wahuni na wale vijana wa hovyo kuita jitihada zozote za kudai haki kuwa ni vurugu. Kwaninkatika utatu huo mtakatifu wewe ni yupi?

Unajua tofauti ya tozo na kodi japo zile za hovyo? Au unajua tofauti ya kodi au tozo na japo angalau matumizi yake?

Au wewe unadhani hizi ni ni pesa za Biko ndugu?

FtDX74wX0AQK8IT.jpeg

FtFXwp_WcAENXf6.jpeg


Au hadi mcharazwe vibao ndipo muamke?

Screenshot_20230408-180625.jpg
 
Ukitaka kuishi Nchi hii kwa amani bila haya Makodikodi,wwe usimiliki chochote kile lakini ukimiliki hata baiskeli hao watoza ushuru wako mlangoni kwako wanataka Kodi ya baiskeli yako!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Maana kamili ya nchi kuitwa ya hovyo kabisa.

Si kumiliki chombo chochote bali usifanye shughuli yoyote pia.

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg


Mbaya zaidi nchi imejaa watu wenye husuda ya kufa mtu na wivu uliopitiliza. Kwamba anayekamuliwa ni yule mijinga mizezeta yotr huona ni sawa tu, kama yenyewe unadhani haihusuki moja kwa moja.

Screenshot_20230428-091154.jpg
 
Wanaume wa mikowani siku hizi mnatuangusha sana,mkishindwa kufanya mgomo Kama ule wa Kariakoo basi inabidi wote muhamie Burundi!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwani wale wa pale ufipa st. ni wa mikoani pia? Kwani na chachandu ya mgomo Katiba mpya isingekuwa imepatikana Hadi leo?
 
Kwa akili yako fupi unadhani tozo hizi wewe hazikuhusu. BIla shaka hata jamaa wa kariakoo waliposimama imara hadi Makalla kunzishwa mbele kwa mbele Bado huelewi unadhani haikukuhusu.

Kingine ni kuwa ni kawaida kwa walamba asali, wahuni na wale vijana wa hovyo kuita jitihada zozote za kudai haki kuwa ni vurugu. Kwaninkatika utatu huo mtakatifu wewe ni yupi?

Unajua tofauti ya tozo na kodi japo zile za hovyo? Au unajua tofauti ya kodi au tozo na japo angalau matumizi yake?

Au wewe unadhani hizi ni ni pesa za Biko ndugu?

View attachment 2629445
View attachment 2629447

Au hadi mcharazwe vibao ndipo muamke?

View attachment 2629450
Bila hzo tozo nyie chadema mngekuwa mnajeuri ya kuzunguka na chopa? Juz tu hapa kabla hamjaanza kupata ruzuku mlikuwa mnazunguka na NOA, baada ya ruzuku sahz nimwendo wa chopa... matapeli wa kisiasa nyie
 
Bila hzo tozo nyie chadema mngekuwa mnajeuri ya kuzunguka na chopa? Juz tu hapa kabla hamjaanza kupata ruzuku mlikuwa mnazunguka na NOA, baada ya ruzuku sahz nimwendo wa chopa... matapeli wa kisiasa nyie

Kwa huyo wewe ni mambuzi au ni mburumundu?

Watambue Wanachama wa Vyama Mitandaoni

Ujasiri wa kuwafungamanisha watu na vyama mnaupata wapi?

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg


Dkt. Mollel watu kama nyie aliwaona vyema sana.

Screenshot_20230408-180625.jpg


Endeleeni kukenua mtastuka baadaye.
 
Back
Top Bottom