Uchaguzi 2020 Kassim Majaliwa (Nachingwea): Vyama vitakuja, lakini maendeleo yataletwa na Chama cha Mapinduzi

Uchaguzi 2020 Kassim Majaliwa (Nachingwea): Vyama vitakuja, lakini maendeleo yataletwa na Chama cha Mapinduzi

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akiwa Nachingwea Mkoani Lindi amesema watakaoleta maendeleo ni Viongozi wa CCM.

Amesema, "Tumeanza kuona watu wanakuja wanaomba kura, badala ya kufanya hivyo kwa amani wanapanda jukwaani kazi yao ni matusi, wengine wanakuja kulaumu".

Amewataka wananchi kukataa Viongozi wa aina hiyo kwa kutumia kura yao kesho, akisema Rais anayetakiwa ni yule atakayeleta maendeleo kwenye maeneo yote ambayo Watanzania wanayahitaji.
 
Siipendi Chadema

Mwaka huu ndio mwisho wao Tanzania
Mmeshindwa kuiuwa miaka Murano ya bila vikao.

Mungu ibariki chadema

Mungu ibariki Tanzania

Mungu mbariki Tundu Lisu
 
Siipendi Chadema

Mwaka huu ndio mwisho wao Tanzania
Chadema inakupenda wewe na kuahidi maisha bora na kizazi chako. Mungu ibariki Chadema na watanzania wote. Kura yako ipatie Chadema.

Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Mungu hawezi kuibariki msaliti wa Nchi ndio maana amekata tikit ya kurudi kwao ubeligiji
Mmeshindwa kuiuwa miaka Murano ya bila vikao.

Mungu ibariki chadema

Mungu ibariki Tanzania

Mungu mbariki Tundu Lisu
 
Ni laana kupigia kura ilo lichama

Chadema ya lissu imejaa washamba hakuna wa kuipigia kura
Chadema inakupenda wewe na kuahidi maisha bora na kizazi chako. Mungu ibariki Chadema na watanzania wote. Kura yako ipatie Chadema


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Ni laana kupigia kura ilo lichama

Chadema ya lissu imejaa washamba hakuna wa kuipigia kura
Hakuna kitabu kinachosema kuna laana kuleta mabadiliko kwenye nchi yako. Mchague lissu kwa manufaa na maisha bora ya Tanzania.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom