Kassim Majaliwa: Serikali imechukua viwanda vyote visivyofanya vizuri

Kassim Majaliwa: Serikali imechukua viwanda vyote visivyofanya vizuri

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema Viwanda vyote ambayo havifanyi kazi vimesharatibiwa na vitatolewa kwa watu wenye uwezo. Ameeleza, Serikali ilichukua Viwanda vyote ambavyo havifanyi vizuri na vinafanyiwa uchambuzi

Amesema hayo Bungeni wakati akimjibu Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe, aliyehoji msimamo wa Serikali kuhusu viwanda vilivyobinafsishwa ambavyo havifanyi kazi zilizokusudiwa

 
Moproco,Ufi
Magunia,
Ngozi
Ceramic
Mmmh vikifufuka Babu Nyerere ataridi tena.
 
Ahsante kwa taarifa, mambo ya kurasimisha...
 
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema Viwanda vyote ambayo havifanyi kazi vimesharatibiwa na vitatolewa kwa watu wenye uwezo. Ameeleza, Serikali ilichukua Viwanda vyote ambavyo havifanyi vizuri na vinafanyiwa uchambuzi

Amesema hayo Bungeni wakati akimjibu Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe, aliyehoji msimamo wa Serikali kuhusu viwanda vilivyobinafsishwa ambavyo havifanyi kazi zilizokusudiwa


Mbona vile vingine Morogoro vinafugiwa mbuzi miaka yote ya utawala wa Mwendazake, majaliwa utauweza mfupa huo?
 
Bunge limekosa mvuto kabisa naona hata wabunge wenyewe hawaoni raha yake, sasa bunge la kukubaliana kila kitu ni bunge au kikao cha chama
 
Back
Top Bottom