Kwan kumeshafanyika uchaguzi?Hivi kuna bunge?
Bado sijaona wala kusikia mkuuKwan kumeshafanyika uchaguzi?
Kwan kumeshafanyika uchaguzi?
Wagombea gani jaman ?Hivi tume ya uchaguzi ilipitisha wagonmbea?
Moproco,Ufi
Magunia,
Ngozi
Ceramic
Mmmh vikifufuka Babu Nyerere ataridi tena.
Kulikuwa kuna uchaguzi gani ? Mbona mi skuuonaWa uchaguzi mkuu 2020?
Mbona vile vingine Morogoro vinafugiwa mbuzi miaka yote ya utawala wa Mwendazake, majaliwa utauweza mfupa huo?Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema Viwanda vyote ambayo havifanyi kazi vimesharatibiwa na vitatolewa kwa watu wenye uwezo. Ameeleza, Serikali ilichukua Viwanda vyote ambavyo havifanyi vizuri na vinafanyiwa uchambuzi
Amesema hayo Bungeni wakati akimjibu Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe, aliyehoji msimamo wa Serikali kuhusu viwanda vilivyobinafsishwa ambavyo havifanyi kazi zilizokusudiwa