Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Mkuu. Wahi hospitali utapona tuMzuka Wanajamvi!
Nadhani Ngoma Cha mtoto. Yani hii makitu ni hatariiii. Nimeshuhudia kwa mtu Yani akikojoa mkojo Kaa mlenda halafu haufiki chini unanata nata kwa kudunda hewani kwenda chini na juu.
Tujiepusheni na ngono zembe!
Niende hospitali mara ngapi?Pole sana Mkuu. Wahi hospitali utapona tu
Kumbe ndo wewe kijana tulipishana kule mambo ya dini ,wacha uzinifu na hapo 😂😂😂😂mkimbilie mwamposaNiende hospitali mara ngapi?
Totoz ni hatari sasahiviKuna mgonjwa niliowai kwenda kumuona alikuwa mtu wa totoz ila alishafariki..Aisee!!! Uume umelika kama ufutio ana vidonda kibao akikojoa analia maumivu vidonda haviponi kuvaa nguo haweza anatakiwa apigwe na baridi ndo anapata afueni..
Ila ndo mkome.
Nilimuona nilishindwa kula nzi wanamfuata kateseka miezi sita na kitu mpaka amefariki..
Haya mambo bora utulie tuNilimuona nilishindwa kula nzi wanamfuata kateseka miezi sita na kitu mpaka amefariki..
Mkumbatie kweliDuh! Ngoja niendelee kumkumbatia my wangu
Kwamba ni kama mafuaKuna wakulungwa wanasema kama hujawah ugua hayo madude basi wewe sio mwamba
Ngoma au gono/kaswende?Nilimuona nilishindwa kula nzi wanamfuata kateseka miezi sita na kitu mpaka amefariki..
Sio kama mafua,yaan hata wao wanaamin ni magonjwa hatar,ila wanaamin kama hujawah kuyaugua ina maana wewe ni mwoga sana na mbususu hujazila vya kutosha
AiseeSio kama mafua,yaan hata wao wanaamin ni magonjwa hatar,ila wanaamin kama hujawah kuyaugua ina maana wewe ni mwoga sana na mbususu hujazila vya kutosha
Ukigundua tayari umeshapatwa inakuwajeSTDs ni kitu pekee kinanifanya nishindwe kusamehe mpenzi anae cheat.