Kaswende na Gono noma

Kaswende na Gono noma

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka Wanajamvi!

Nadhani Ngoma cha mtoto. Yani hii makitu ni hatariiii. Nimeshuhudia kwa mtu Yani akikojoa mkojo Kaa mlenda halafu haufiki chini unanata nata kwa kudunda hewani kwenda chini na juu.

Tujiepusheni na ngono zembe!
 
Ibaki kwa matumizi ya kukojolea mkojo mdogo tu.


Screenshot_20220609-231306.jpg
 
Kuna mgonjwa niliowai kwenda kumuona alikuwa mtu wa totoz ila alishafariki..Aisee!!! Uume umelika kama ufutio ana vidonda kibao akikojoa analia maumivu vidonda haviponi kuvaa nguo haweza anatakiwa apigwe na baridi ndo anapata afueni..

Ila ndo mkome.
 
Kuna mgonjwa niliowai kwenda kumuona alikuwa mtu wa totoz ila alishafariki..Aisee!!! Uume umelika kama ufutio ana vidonda kibao akikojoa analia maumivu vidonda haviponi kuvaa nguo haweza anatakiwa apigwe na baridi ndo anapata afueni..

Ila ndo mkome.
Totoz ni hatari sasahivi

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom