BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Sio tu rist mimi siwezi lipa kodi na oia nichangua maendeleo kwa cash, huu ujinga ufanywe na wajinga tuVipi mlipewa risiti Kwa Kila hela mtu aliyochangia?
Hilo ni jambo Dogo, mngeenda kuripoti Kwa Mkuu wenu wa Wilaya then aagize TAKUKURU kufatilia.
Baada ya Mwezi mmoja tu hao watuhumiwa wote wangepelekwa mahakamani
wajinga sana watu,Wajinga ndio waliwao yaani mnalipa Kodi Kwa ajili ya mambo kama hayo halafu mnakubali kuchangishwa tena
Prof Kabudi! Huwa hasemi ukweli kuhusu Tanganyika,kwaniniNadhani muungano ndio shida kubwa kuliko hayo yote sababu umewafanya watu kuwa wajinga na manyumbu yanayoogopa kuhoji haki zao
Nchi hii imejaza wajinga wengi sana hasa vijijiniwajinga sana watu,
Diwani na mtendaji ni wa chama gani?Baada ya kupitisha mchango huo, tuliunda kamati ya ujenzi wa shule hiyo ambayo ilikuwa chini ya Mwenyekiti wake Diwani wa Kata yetu na Mtendaji wa Kata.
Chama cha majambaz ..Diwani na mtendaji ni wa chama gani?
Mbunge wenu ni wa chama gani?
Wazee wa intelegensia huko kwenu wapo?
Siku hizi malipo mengi ya Serikali yanafanywa kupitia control numberSio tu rist mimi siwezi lipa kodi na oia nichangua maendeleo kwa cash, huu ujinga ufanywe na wajinga tu
michango haina controo numberSiku hizi malipo mengi ya Serikali yanafanywa kupitia control number
Kwahiyo hata hizo habari za kutumia vijitabu vyao vya risiti sitaki kuzisikia kabisa
Pongezi nyingi ziwaendee CCM na mwenyekiti wa CCM kwa mafanikio hayo.Kupitia jukwaa hili, mimi mwananchi wa Kata ya Kabondo Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu.
Kwa niaba ya Wananchi wa kata hii, naomba kuleta malalamiko yetu kwa viongozi hasa Mheshimiwa Rais na Waziri wa TAMISEMI.
Mwaka 2023 sisi Wananchi na Viongozi wa kata, tulikaa katika mkutano wa hadhara, kujadili changamoto ya elimu kwa watoto wetu hasa wa sekondari.
Changamoto hiyo ni Watoto wetu kutembea kila siku kilometa takribani 20, kwenda Shule Sekondari Mwamishali, iliyopo kata jirani ya Mwamishali.
Mateso ya Watoto, yalitulazimu kama Wananchi wa kata hii kwenye mkutano huo, kuamua kuanza ujenzi wa shule ya sekondari kwenye kata yetu.
Kwenye huo mkutano tulipiga hesabu ya kaya zenye uwezo wa kuchangia kiasi cha Sh. 50,000 kila kaya, ambapo takribani kaya 584 zilitakiwa kuchangia kiasi hicho cha mchango.
Baada ya kupitisha mchango huo, tuliunda kamati ya ujenzi wa shule hiyo ambayo ilikuwa chini ya Mwenyekiti wake Diwani wa Kata yetu na Mtendaji wa Kata.
Kamati hiyo ambayo ndani yake kulikuwepo na Watendaji wa Vijiji na Wenyeviti, ilianza zoezi la kukusanya michango kutoka kwa kaya hizo 548, ambapo zoezi la kuchangisha lilifanikiwa asilimia 100.
Katika mkutano mwingine, kamati ilitutangazia kuwa imekusanya kiasi cha Shilingi Milioni 30 kutoka kwenye hizo kaya na pesa zote kamati ikatueleza imepelekwa benki na ujenzi utaanza mara moja.
Jambo la kushangaza tangu Januari ambapo michango hiyo ilikusanywa, mpaka leo hakuna ujenzi wowote ambao umefanyika katika eneo ambalo liliteuliwa shule hiyo ujengwe.
Shule ya haijajengwa, juzikati kwenye mkutano wa hadhara wananchi tulihoji, viongozi wakaanza kutupiana mpira, tuliambiwa kuwa kwenye akaunti imebaki Shilingi laki 5 tu.
Wajumbe wa Kamati hiyo waliwataka Diwani wa Kata yetu na Mtendaji wa Kata, kuwa wao ndiyo walishika hela zote na kuzipeleka Benki, lakini baadaye zilizokutwa benki ni shilingi laki tano.
Uchunguzi ambao tumefanya imebainika ni kweli Diwani na Mtendaji wa Kata wamekula michango yetu, tumewauliza wajumbe waliokuwa kwenye hiyo kamati wametwambia ukweli wa jambo.
Wajumbe wanasema wakati wanakusanya pesa zote walikuwa wakipeleka kwa viongozi hao, kwa madai kuwa walitaka wapewe hizo hela kisha wao ndiyo watapeleka benki.
Kupitia jukwaa hili, mimi mwananchi wa Kata ya Kabondo Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu.
Kwa niaba ya Wananchi wa kata hii, naomba kuleta malalamiko yetu kwa viongozi hasa Mheshimiwa Rais na Waziri wa TAMISEMI.
Mwaka 2023 sisi Wananchi na Viongozi wa kata, tulikaa katika mkutano wa hadhara, kujadili changamoto ya elimu kwa watoto wetu hasa wa sekondari.
Changamoto hiyo ni Watoto wetu kutembea kila siku kilometa takribani 20, kwenda Shule Sekondari Mwamishali, iliyopo kata jirani ya Mwamishali.
Mateso ya Watoto, yalitulazimu kama Wananchi wa kata hii kwenye mkutano huo, kuamua kuanza ujenzi wa shule ya sekondari kwenye kata yetu.
Kwenye huo mkutano tulipiga hesabu ya kaya zenye uwezo wa kuchangia kiasi cha Sh. 50,000 kila kaya, ambapo takribani kaya 584 zilitakiwa kuchangia kiasi hicho cha mchango.
Baada ya kupitisha mchango huo, tuliunda kamati ya ujenzi wa shule hiyo ambayo ilikuwa chini ya Mwenyekiti wake Diwani wa Kata yetu na Mtendaji wa Kata.
Kamati hiyo ambayo ndani yake kulikuwepo na Watendaji wa Vijiji na Wenyeviti, ilianza zoezi la kukusanya michango kutoka kwa kaya hizo 548, ambapo zoezi la kuchangisha lilifanikiwa asilimia 100.
Katika mkutano mwingine, kamati ilitutangazia kuwa imekusanya kiasi cha Shilingi Milioni 30 kutoka kwenye hizo kaya na pesa zote kamati ikatueleza imepelekwa benki na ujenzi utaanza mara moja.
Jambo la kushangaza tangu Januari ambapo michango hiyo ilikusanywa, mpaka leo hakuna ujenzi wowote ambao umefanyika katika eneo ambalo liliteuliwa shule hiyo ujengwe.
Shule ya haijajengwa, juzikati kwenye mkutano wa hadhara wananchi tulihoji, viongozi wakaanza kutupiana mpira, tuliambiwa kuwa kwenye akaunti imebaki Shilingi laki 5 tu.
Wajumbe wa Kamati hiyo waliwataka Diwani wa Kata yetu na Mtendaji wa Kata, kuwa wao ndiyo walishika hela zote na kuzipeleka Benki, lakini baadaye zilizokutwa benki ni shilingi laki tano.
Uchunguzi ambao tumefanya imebainika ni kweli Diwani na Mtendaji wa Kata wamekula michango yetu, tumewauliza wajumbe waliokuwa kwenye hiyo kamati wametwambia ukweli wa jambo.
Wajumbe wanasema wakati wanakusanya pesa zote walikuwa wakipeleka kwa viongozi hao, kwa madai kuwa walitaka wapewe hizo hela kisha wao ndiyo watapeleka benki.
Wacha uongo mkuu! Mtoto atoke Kabondo mpaka Mwamishali kufuata shule ya Sekondari? Kwa nini asiishie Ng'hoboko au kwa nini asiende Imalaseko?Changamoto hiyo ni Watoto wetu kutembea kila siku kilometa takribani 20, kwenda Shule Sekondari Mwamishali, iliyopo kata jirani ya Mwamishali.