nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Miaka mitanobiliyopita alikuwepo diwani anaitwa watende wa viti maalum CCM.
Huyu diwani aliwatesa sana wananchi na wakulima wa maeneo hayo kwakusababisha mashamba yao kuporwa na wamasai na wafanya biashara wa dumila.
Diwani huyu ana kashfa nyingi sana zinazohusu rushwa na uporaji mashamba. Alishasema yupo tayari kuhonga mwili wake ili madhara ya kashfa zake yasimpate. Na aliishi kwa kufanya ivo
Wananchi wa Mbigiri wanafahamu hilo, lakini kwakuwa hawana maamuzi, CCM kata wamempitisha kwenye kura ya maoni kwa rushwa
Amepata msaada wa pesa za kuhonga wajumbe toka kwa wafungaji wa kimasai, hawa kitumaini kutetewa almashauri kwa kufutwa kijiji chao
Jopo hilo la wafugaji linaongozwa na ndugu Lenyeka. Wafanyabiashara na viongozi waserikali wanaongozwa na mfanyabiashara.
1. Shaban au Kelvin Mnyingi wa Dumila(mbabe wa wakulima na serikali)
2. Afisa tarafa yeye ( ndiye mratibu wa kupora ardhi ya wakulima na kuwagawi wakubwa)
CCM, liangalieni hii kwa umakini
Huyu diwani aliwatesa sana wananchi na wakulima wa maeneo hayo kwakusababisha mashamba yao kuporwa na wamasai na wafanya biashara wa dumila.
Diwani huyu ana kashfa nyingi sana zinazohusu rushwa na uporaji mashamba. Alishasema yupo tayari kuhonga mwili wake ili madhara ya kashfa zake yasimpate. Na aliishi kwa kufanya ivo
Wananchi wa Mbigiri wanafahamu hilo, lakini kwakuwa hawana maamuzi, CCM kata wamempitisha kwenye kura ya maoni kwa rushwa
Amepata msaada wa pesa za kuhonga wajumbe toka kwa wafungaji wa kimasai, hawa kitumaini kutetewa almashauri kwa kufutwa kijiji chao
Jopo hilo la wafugaji linaongozwa na ndugu Lenyeka. Wafanyabiashara na viongozi waserikali wanaongozwa na mfanyabiashara.
1. Shaban au Kelvin Mnyingi wa Dumila(mbabe wa wakulima na serikali)
2. Afisa tarafa yeye ( ndiye mratibu wa kupora ardhi ya wakulima na kuwagawi wakubwa)
CCM, liangalieni hii kwa umakini