Kataa ndoa hii tafiti mpya mmeisikia? Vijana ingieni kwenye ndoa muepuke uchizi

Kataa ndoa hii tafiti mpya mmeisikia? Vijana ingieni kwenye ndoa muepuke uchizi

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Team Kataa Ndoa Mpo?

Sidhani kama kuna haja ya kusalimiana. Kama kuna mtu ana lolote anaweza akasema linalomsibu kwenye nafasi niliyoiacha hapo juu.

Najua humu jukwaani kuna movement ya Kataa Ndoa. Itoshe kusema kuwa kutokana na research iliyofanywa nimefahamu kuwa watu wengi ambao ni team Kataa Ndoa wana stress na msongo mkubwa wa mawazo.

Huko nje wanajinasibu kuwa na furaha lakini in real sense kulingana na hii research wako on the brink ya kuwa vichaa.

Mtanisaidia kumtag dronedrake aone hii na aachane na hii kampeni mara moja.

Nawasilisha

 
Acha nitulie

20241104_135650.jpg
 
Team Kataa Ndoa Mpo?

Sidhani kama kuna haja ya kusalimiana. Kama kuna mtu ana lolote anaweza akasema linalomsibu kwenye nafasi niliyoiacha hapo juu.

Najua humu jukwaani kuna movement ya Kataa Ndoa. Itoshe kusema kuwa kutokana na research iliyofanywa nimefahamu kuwa watu wengi ambao ni team Kataa Ndoa wana stress na msongo mkubwa wa mawazo.

Huko nje wanajinasibu kuwa na furaha lakini in real sense kulingana na hii research wako on the brink ya kuwa vichaa.

Mtanisaidia kumtag dronedrake aone hii na aachane na hii kampeni mara moja.

Nawasilisha

Kwenye ndoa mtapata uchizi, maperesha na mtakufa mapema
 
Back
Top Bottom