Kataa ndoa hii tafiti mpya mmeisikia? Vijana ingieni kwenye ndoa muepuke uchizi

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Team Kataa Ndoa Mpo?

Sidhani kama kuna haja ya kusalimiana. Kama kuna mtu ana lolote anaweza akasema linalomsibu kwenye nafasi niliyoiacha hapo juu.

Najua humu jukwaani kuna movement ya Kataa Ndoa. Itoshe kusema kuwa kutokana na research iliyofanywa nimefahamu kuwa watu wengi ambao ni team Kataa Ndoa wana stress na msongo mkubwa wa mawazo.

Huko nje wanajinasibu kuwa na furaha lakini in real sense kulingana na hii research wako on the brink ya kuwa vichaa.

Mtanisaidia kumtag dronedrake aone hii na aachane na hii kampeni mara moja.

Nawasilisha

Your browser is not able to display this video.
 
Usingle ni raha sana wewe ni kuchange mademu bila karaha
 
Kwenye ndoa mtapata uchizi, maperesha na mtakufa mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…