Kataa ndoa, ndoa ni utapeli

Kataa ndoa, ndoa ni utapeli

komasavaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,718
Reaction score
2,930
Katika kizazi tulichopo ndoa ni concept ambayo tayari imeshapitwa na wakati. Muundo wa ndoa ulisukwa kwenda sambamba na mfumo dume, katika zama hizi za usawa wa kijinsia lazima taasisi ya ndoa itaanguka tu kwa sababu misingi yake haikuwekwa kwenda sambamba na haya mambo ya 50/50 na feminism.

Tuangalie masuala kadhaa yanayohusu ndoa ambayo yalikua na uhalali nyakati za mfumo dume lakini kwa sasa hayana uhalali tena.

1. Kugawana mali baada ya kutalakiana.
Katika zama za mfumo dume mwanamke hakujumuishwa kwenye masuala yote ya kiuchumi kuanzia kirithi mali, kumiliki mali, elimu n.k katika hali kama iyo ni haki kwa mwanamke uyo kupata mgao wa mali ndoa ikivunjika. Kwenye jamii ya sasa mwanamke kapewa uhuru na access zote za kujitafutia hela na mali kwaiyo hakuna sababu inayomlazimu awe tegemezi na kupata mgao kutoka kwenye mali za mwanaume.

2. Mmong'onyoko wa maadili ambao umefanywa kuwa ustaarabu wa maisha ya kisasa.
Wanawake wanatembea nusu uchi, wanapost picha chafu mtandaoni. Mambo ambayo mwanaume ulitakiwa kuyapata ndoani unayapata ukiwa bachelor. Maeneo ya mwili wa mwanamke ambayo ulitakiwa kuyaona chumbani unayaona mtaani na mtandaoni. Zamani uchi wa mwanamke ulikua priceless sasa hivi uchi wa mwanamke una price tag. if i can get free milk why keeping a cow?

3. Hakuna namna ya kumwajibisha mwanamke.
Nyakati za mfumo dume kulikua na standard rigid za kumwajibisha mwanamke. Mwanamke kukosa bikira ilikua aibu kubwa sana kwenye familia matokeo yake mabinti walijitunza mpaka ndoa. Sasa hivi tupo kwenye kizazi ambacho mabinti na wanawake wamepewa uhuru wa kufanya ngono kiholela bila kuwa accountable.

Na wote waliopo kwenye ndoa za baada ya mwaka 2000 wote ndoa zipo zinashikiliwa na malezi ya watoto ila wenza hawana upendo baina yao.

Ndoa za kileo ndio kati ya sababu kubwa ya vifo vya mauaji wake kwa waume.Hii inaonyesha kwa jinsi gani ndoa zimegeuka uwanja wa mapambano usikuwa na refa.

Ndoa ni kichaka cha maovu ya uzinzi na magonjwa ya zinaa kwa watu wengi wa sasa.

Kwa ujumla lengo mama la kuwepo taasisi ya ndoa limeacha,na kwa sasa ndoa imebaki kama fashion ambayo wengi hawaelewi misingi na malengo yake mwishowe wanabaki na maumivu makubwa ya kihisia.

📌📌📌Kataa ndoa ulinde uchumi wako,afya yako ya akili na uhuru wako!!!!


Shukurani za dhati ziende kwake comrade Natafuta Ajira

Uzi tayari!!!
34C77323-0E76-4E46-B86A-AE86A3751CA1.jpeg
 
Katika kizazi tulichopo ndoa ni concept ambayo tayari imeshapitwa na wakati. Muundo wa ndoa ulisukwa kwenda sambamba na mfumo dume, katika zama hizi za usawa wa kijinsia lazima taasisi ya ndoa itaanguka tu kwa sababu misingi yake haikuwekwa kwenda sambamba na haya mambo ya 50/50 na feminism.

Tuangalie masuala kadhaa yanayohusu ndoa ambayo yalikua na uhalali nyakati za mfumo dume lakini kwa sasa hayana uhalali tena.

1. Kugawana mali baada ya kutalakiana.
Katika zama za mfumo dume mwanamke hakujumuishwa kwenye masuala yote ya kiuchumi kuanzia kirithi mali, kumiliki mali, elimu n.k katika hali kama iyo ni haki kwa mwanamke uyo kupata mgao wa mali ndoa ikivunjika. Kwenye jamii ya sasa mwanamke kapewa uhuru na access zote za kujitafutia hela na mali kwaiyo hakuna sababu inayomlazimu awe tegemezi na kupata mgao kutoka kwenye mali za mwanaume.

2. Mmong'onyoko wa maadili ambao umefanywa kuwa ustaarabu wa maisha ya kisasa.
Wanawake wanatembea nusu uchi, wanapost picha chafu mtandaoni. Mambo ambayo mwanaume ulitakiwa kuyapata ndoani unayapata ukiwa bachelor. Maeneo ya mwili wa mwanamke ambayo ulitakiwa kuyaona chumbani unayaona mtaani na mtandaoni. Zamani uchi wa mwanamke ulikua priceless sasa hivi uchi wa mwanamke una price tag. if i can get free milk why keeping a cow?

3. Hakuna namna ya kumwajibisha mwanamke.
Nyakati za mfumo dume kulikua na standard rigid za kumwajibisha mwanamke. Mwanamke kukosa bikira ilikua aibu kubwa sana kwenye familia matokeo yake mabinti walijitunza mpaka ndoa. Sasa hivi tupo kwenye kizazi ambacho mabinti na wanawake wamepewa uhuru wa kufanya ngono kiholela bila kuwa accountable.

📌📌📌Kataa ndoa ulinde uchumi wako,afya yako ya akili na uhuru wako!!!!


Shukurani za dhati ziende kwake comrade Natafuta Ajira

Uzi tayari!!!
Pimbi wewe unaoa vibudu huko,tafuta hela kuliko mkeo uone kama atakuzingua.
 
Kuzaa ni tofauti na ndoa,hata wanyama wanazaa ila hawana ndoa.
Bora ukatae kuzaa kuliko ndoa , kuzaana ni kuletana kwenye matatizo hapa duniani...Tuishi mpaka tupotee ndio mwisho wa matatizo
 
Yaani umekutana na milupo huko imekupa masahibu ndyo unataka na sisi tukatae kuishi na wanawake?
 
Ukimsoma vzr mtume Paulo kwa wale wakristo anasema sababu kubwa ya kuoa ni kuzia tu matamanio nothing else. so hakuna dhambi ya kutooa au kutoolewa.

plus wanawake ni wengi kuliko wanaume so big % ya wadada hawataolewa hata wasagae meno na washinde huko church....Na hakuna faida ya mwanaume kwenye ndoa so why uingie kwenye mkataba ambao hauna faida nao......

All in all yote ya duniani ni mipango yake so kama alipanga utaoa au kuolewa then itatokea na kama akisema no ni no. kama afande sele alivyoimba sio lazima wote tuwe wasanii wengine wabaki tu kuwa washabiki.

So sio kila mtu lazima aoe au aolewe ukiolewa wewe au ukioa wewe inatosha now shughulika na familia yako. Achana na maisha ya wengine. KILA.MTU ABAKI NA DHAMBI ZAKE. tutakutana huko Kwenye judgement.
 
Inawezekana kataa ndoa wengi bado wanajitafuta au ni woga wa maisha na kukwepa majukumu.
 
Inawezekana kataa ndoa wengi bado wanajitafuta na hii ni sababu tu ya kukwepa majukumu.
Bongo ukishaona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndio fursa yenyewe, kama ndoa ingekuwa nzuri vijana wangekimbilia wenyewe sio kulazimishwa namna hii.

📌📌Tumegoma kutumika kama madaraja ya kuwafaidisha na kuwatajirisha wanawake masikini na wavivu.
 
Ndoa ni jambo la hiyari lakini Mungu huribariki,

Ndoa huleta heshima katika jamii.

Ndoa ni makubaliano ya watu wawili mume na mke wasio na kizuio.

Ndoa si kwaajili ya mwanaume dhaifu.

Ndoa ni Kwa watu wawili wanaoweza kuvumiliana

Ndoa inasimamiwa na kuratibiwa zaidi na mwanaume

Ndoa ni mpango thabiti wa kujenga familia imara kama ilivyo maaagizo ya Mungu (Zaaneni muijaze Dunia)

Ndoa imebebwa na mwanaume imara na shujaa mtafutaji,mvuja jasho, mwenye kuishi vizuri na mwanamke (imeandikwa ishini nao Kwa akili)

Sasa mwanaume Una vimelea vya kike,kutwa kukagua simu ya mpenzi wako na kutishwa na mambo madogo.

Unahitaji vitu vitatu toka Kwa mwanamke ili ndoa idumu

1.Kutokuzaa nje ya ndoa

Yaani afanyeee lakini asibebe ujauzito usio wako.

2.Kutokujulikana anatoka na nani

Yaani afanye weeeee lakini asije akajulikana wala kufumaniwa.

3.Kujilinda

Ni pamoja na kutumia kinga huko aliko asilete magonjwa.

Fanya hivi ili kulinda ndoa yako.

1.Acha kumfuatilia sana mwanamke,anaenda wapi anapigiwa Simu na Nani mpe Uhuru.

2.kuwa bize jifanye hujui kinachoendelea,Acha kutoa maonyo ya kila mara,atakuzoea,na ukizoeleka atakuchukulia poa.

3.ikiwa utapewa taarifa zozote kuhusu mkeo,kaa chini tulia,waza ,fikiri mara mbili,kama kimya usimuulize na kutengeneza ugomvi Kwa maneno ya kuambiwa.

4.ikiwa neno liko wazi mkanye Kwa maneno machache, usiongee Kwa ukali,Acha uso uongee zaidi kuliko mdomo.
Mwambie yeye ni mke wako uliacha msururu wa wanawake ili kuwa na yeye mkumbatie halafu mwache.

5.Usipende kukumbushia mambo yaliyopita (mtengenezee uoga) yaani ajikute anakuogopa halafu hajui anaogopa nini.

6.Tafuta pesa (miliki manati)
Mwanaume tumeumbwa mateso ,ataecheza na miliki yako usiulize fanya maamuzi.

7.Piga Sana mademu Tomba sana ikiwezekana kila ladha ,jihadhari na magonjwa


Ndoa inakupa uhalali wa mtu kuwa mke Kwa asilimia chache sana,atatombwa hata ufanyeje
 
Ndoa ni jambo la hiyari lakini Mungu huribariki,

Ndoa huleta heshima katika jamii.

Ndoa ni makubaliano ya watu wawili mume na mke wasio na kizuio.

Ndoa si kwaajili ya mwanaume dhaifu.

Ndoa ni Kwa watu wawili wanaoweza kuvumiliana

Ndoa inasimamiwa na kuratibiwa zaidi na mwanaume

Ndoa ni mpango thabiti wa kujenga familia imara kama ilivyo maaagizo ya Mungu (Zaaneni muijaze Dunia)

Ndoa imebebwa na mwanaume imara na shujaa mtafutaji,mvuja jasho, mwenye kuishi vizuri na mwanamke (imeandikwa ishini nao Kwa akili)

Sasa mwanaume Una vimelea vya kike,kutwa kukagua simu ya mpenzi wako na kutishwa na mambo madogo.

Unahitaji vitu vitatu toka Kwa mwanamke ili ndoa idumu

1.Kutokuzaa nje ya ndoa

Yaani afanyeee lakini asibebe ujauzito usio wako.

2.Kutokujulikana anatoka na nani

Yaani afanye weeeee lakini asije akajulikana wala kufumaniwa.

3.Kujilinda

Ni pamoja na kutumia kinga huko aliko asilete magonjwa.

Fanya hivi ili kulinda ndoa yako.

1.Acha kumfuatilia sana mwanamke,anaenda wapi anapigiwa Simu na Nani mpe Uhuru.

2.kuwa bize jifanye hujui kinachoendelea,Acha kutoa maonyo ya kila mara,atakuzoea,na ukizoeleka atakuchukulia poa.

3.ikiwa utapewa taarifa zozote kuhusu mkeo,kaa chini tulia,waza ,fikiri mara mbili,kama kimya usimuulize na kutengeneza ugomvi Kwa maneno ya kuambiwa.

4.ikiwa neno liko wazi mkanye Kwa maneno machache, usiongee Kwa ukali,Acha uso uongee zaidi kuliko mdomo.
Mwambie yeye ni mke wako uliacha msururu wa wanawake ili kuwa na yeye mkumbatie halafu mwache.

5.Usipende kukumbushia mambo yaliyopita (mtengenezee uoga) yaani ajikute anakuogopa halafu hajui anaogopa nini.

6.Tafuta pesa (miliki manati)
Mwanaume tumeumbwa mateso ,ataecheza na miliki yako usiulize fanya maamuzi.

7.Piga Sana mademu Tomba sana ikiwezekana kila ladha ,jihadhari na magonjwa


Ndoa inakupa uhalali wa mtu kuwa mke Kwa asilimia chache sana,atatombwa hata ufanyeje
KATAA NDOA tunaweza kuonekana watu wa ajabu ila KUBALI NDOA ni vituko😂😂😂😂

Kama unashauri watu wawe na mchepuko eti usijulikane😂😂😂 hivi kuna uhalali wa hiyo ndoa.Hivi nyie mazumbukuku mnadhana hao wanawake hawana akili nyie malofa ndo wajanja sana.

Acheni kujicontradict, na ubaya nikuwa wanawake nao wanaishi hivyohivyo kimachale.Mwisho wa siku mwenye kuzidiwa kihisia huleta mauwaji na majonzi na ndio mwanzo wa kugawana majengo ya serikali.


Ikiwa haya uliyoyashauri ndo unayoyafanya.Tambua kuwa unacheza na moto🔥🔥🔥 na siku huyo mwanamke akiamua akulipize utalia na kusaga meno.

Niliyegemea kwakua nyie KUBALI NDOA mnauwezo wa kuvumilia hao wake zenu kwa mapungufu yao ikiwemo kutokujua kukata mauno na kufinyia kwa ndani basi ntayaacha ya dunia na kusubiri ya mbinguni😂😂😂kumbe nyie waongo mnajidanganya wenyewe.

Hakuna mtu mjinga zaidi ya yule anayejidanganya mwenyewe

📌📌📌Kama hamuwezi kukaa kwenye ndoa bila michepuko,basi mmeharibu maana na KUSUDI LA MSINGI wa NDOA.


NB; WEWE KAMA NI MTU MZIMA ZAIDI YA MIAKA 35,BASI TAIFA LINAWATU WA HOVYO HOVYOO BALAAAAA.....

📌📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Si vizuri kuwahadaa watu mitandaoni huku kwenye plan zako za mwaka kuoa kupo.binafsi sipendi utapeli wao mwingi ila nitaoa tu.
 
Nchi za wenzetu, wanawake wanaongoza kukataa ndoa sababu haiwasaidii zaidi kipindi wanapopata watoto. Wanajiona single mothers walioolewa. Anafanya kazi kuchangia 50 -50 na anajikuta bado analazimika kuhudumia mume na malezi ya watoto 100. Ilihali mwanamme akishaweka 50 yake anajiona amemaliza
 
Katika kizazi tulichopo ndoa ni concept ambayo tayari imeshapitwa na wakati. Muundo wa ndoa ulisukwa kwenda sambamba na mfumo dume, katika zama hizi za usawa wa kijinsia lazima taasisi ya ndoa itaanguka tu kwa sababu misingi yake haikuwekwa kwenda sambamba na haya mambo ya 50/50 na feminism.

Tuangalie masuala kadhaa yanayohusu ndoa ambayo yalikua na uhalali nyakati za mfumo dume lakini kwa sasa hayana uhalali tena.

1. Kugawana mali baada ya kutalakiana.
Katika zama za mfumo dume mwanamke hakujumuishwa kwenye masuala yote ya kiuchumi kuanzia kirithi mali, kumiliki mali, elimu n.k katika hali kama iyo ni haki kwa mwanamke uyo kupata mgao wa mali ndoa ikivunjika. Kwenye jamii ya sasa mwanamke kapewa uhuru na access zote za kujitafutia hela na mali kwaiyo hakuna sababu inayomlazimu awe tegemezi na kupata mgao kutoka kwenye mali za mwanaume.

2. Mmong'onyoko wa maadili ambao umefanywa kuwa ustaarabu wa maisha ya kisasa.
Wanawake wanatembea nusu uchi, wanapost picha chafu mtandaoni. Mambo ambayo mwanaume ulitakiwa kuyapata ndoani unayapata ukiwa bachelor. Maeneo ya mwili wa mwanamke ambayo ulitakiwa kuyaona chumbani unayaona mtaani na mtandaoni. Zamani uchi wa mwanamke ulikua priceless sasa hivi uchi wa mwanamke una price tag. if i can get free milk why keeping a cow?

3. Hakuna namna ya kumwajibisha mwanamke.
Nyakati za mfumo dume kulikua na standard rigid za kumwajibisha mwanamke. Mwanamke kukosa bikira ilikua aibu kubwa sana kwenye familia matokeo yake mabinti walijitunza mpaka ndoa. Sasa hivi tupo kwenye kizazi ambacho mabinti na wanawake wamepewa uhuru wa kufanya ngono kiholela bila kuwa accountable.

Na wote waliopo kwenye ndoa za baada ya mwaka 2000 wote ndoa zipo zinashikiliwa na malezi ya watoto ila wenza hawana upendo baina yao.

Ndoa za kileo ndio kati ya sababu kubwa ya vifo vya mauaji wake kwa waume.Hii inaonyesha kwa jinsi gani ndoa zimegeuka uwanja wa mapambano usikuwa na refa.

Ndoa ni kichaka cha maovu ya uzinzi na magonjwa ya zinaa kwa watu wengi wa sasa.

Kwa ujumla lengo mama la kuwepo taasisi ya ndoa limeacha,na kwa sasa ndoa imebaki kama fashion ambayo wengi hawaelewi misingi na malengo yake mwishowe wanabaki na maumivu makubwa ya kihisia.

📌📌📌Kataa ndoa ulinde uchumi wako,afya yako ya akili na uhuru wako!!!!


Shukurani za dhati ziende kwake comrade Natafuta Ajira

Uzi tayari!!!View attachment 3259557
Utakuwa unapenda mpira kuliko mkeo
 
Back
Top Bottom