Meneja wake ni mc Pili Pili.Ni mgodi unaotembea, atafute Management nzuri apige pesa kabla hajachuja.
Mc Pili Pili ni mjanja, anamtumia huyu dada kujinufaisha yeye. Hajui kum'brand na shows wanazofanya anamlipa kiduchu.Meneja wake ni mc Pili Pili.
wanauza SupuWanajishughulisha na nini hao? Unajua shule imenifanya niwe busy kiasi cha kutofuatilia bongofleva kabisa.
Kuku au mbuzi?wanauza Supu
Ya GiggyKuku au mbuzi?
Ni bora kuliko akiendelea kubaki Arusha anadoda tu....walau Pilipili anampa jukwaa ni kazi kwake kujiongeza.......Mc Pili Pili ni mjanja, anamtumia huyu dada kujinufaisha yeye. Hajui kum'brand na shows wanazofanya anamlipa kiduchu.
Mkuu bora hata hao waliokuwa wakimpa support huko Ar wamemfanya akahit na kujulkana! Lakini kwa pilpl sina hakika sana kama atamfikisha mbali, angepata kampuni au mtu ambaye anafanya kazi ya kupromote pekee yake ingekuwa poa sana, Pilpl anafanya kupromote na ukomedy hapo hapo jambo linaweza leta mgongano wa kimaslahi hapo baadae...Ni bora kuliko akiendelea kubaki Arusha anadoda tu....walau Pilipili anampa jukwaa ni kazi kwake kujiongeza.......
Kule Arusha hakuna anachofanya zaidi ya kusubiri mikutano ya Chadomo ndio apande jukwaani.
Support gani walimpa zaidi ya kujulikana tu hapo hapo Arusha....Kwa kufanya kazi na Pilipili ameshafanya interview nyingi na za maana na show kadhaa za mikoani....ni wengi wameshamjua sasa akili kichwani kwake ila ni lazima atambue mchango wa Pilipili.....asipotopshwe akavimba kichwa na kunyea kambi.Mkuu bora hata hao waliokuwa wakimpa support huko Ar wamemfanya akahit na kujulkana! Lakini kwa pilpl sina hakika sana kama atamfikisha mbali, angepata kampuni au mtu ambaye anafanya kazi ya kupromote pekee yake ingekuwa poa sana, Pilpl anafanya kupromote na ukomedy hapo hapo jambo linaweza leta mgongano wa kimaslahi hapo baadae...
This is best for me
Anafurahisha hatumii nguvu sana wala havai nguo za kuchanika na kukinja sura kama wengine
Nimempenda na kipaji chake
Kweli kabisa mkuu...hivi vituo ambavyo ni vya public inabidi kwa kweli wawape nafasi bila shaka wataleta mapinduzi makubwa kwenye tasnia ya burudani hasa kwenye comedy, makundi ya comedy yaliyopo kwa sasa yamekosa mvuto kabisa, ila sasa tatizo linakuja pale watakapojaribu kugusa baadhi ya mambo kwenye serikali hapo watapigwa ban...Rohoo inaniuma wanavyokuwa wapo vizuri kiasi hicho halafu hawajapata bado vipindi/publicity kwenye media kubwa kama ITV