Katarina Karatu, mchekeshaji wa kike namba 1 Tanzania

me and I

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
1,540
Reaction score
1,357
Habari zenu wakuu,
Asee sikuwahi kudhani kwamba kuna wanawake wenye kipaji cha comedy nimeona kwa Katarina yaani huyu Dada ni shidaa kila nikiangalia vipande vyake vya video nacheka mbavu sina. Alafu cha ajabu haendani na comedy kabisa ..
I just lover her.
 
Kama unamjua mwambie awe na I'd ya ssuti take ya kimbulu asijaribu kuiga sauti zingine kama kikurya, kichagga n.k akomae na sauti yake ya kimbulu kama kansiime alivyokuwa maarufu kwa kingereza chake cha kiganda /kihaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…