samwel amos
Member
- Feb 10, 2014
- 68
- 17
Vichekesho vyake vingi ni vya kusikiliza (audio) too much talking....kwa 'stand up' ina work fine...ila kwa video ni kupotezea watu bando bure.Me hajawahi nichekesha licha ya kuona clip zke uko insta vichekesho anavyofanya havina ubunifu unaweza predict neno au tendo gani hatafanya
Umekurupuka Kansiime wa Uganda na mwenzio kasema Katarina No 1 TZ.Hukuwahi kumuona hata Kansiime?
haaaaa lol..Me hajawahi nichekesha licha ya kuona clip zke uko insta vichekesho anavyofanya havina ubunifu unaweza predict neno au tendo gani hatafanya
mwanaume kuchekeshwa na mwanamke mzuri hivyo unatia aibu
Ah yule pilipili me naona n m.c tu sio mchekeshaji yule ana maneno mengi halafu hayana hata mvutoVichekesho vyake vingi ni vya kusikiliza (audio) too much talking....kwa 'tand up' ina work fine...ila kwa video ni kupotezea watu bando bure.
Alafu kwa bahati mbaya Wasanii wachekeshaji wengi Bongo uwezo wao ni kuongea tuu.....yule Pilipili ndio kachukua kipindi cha Wakenya kilichonuiwa kuwa "silent" yeye anajazia sauti....sasa sijui ni nini anafanya maskini ya Mungu.
Hukuwahi kumuona hata Kansiime?
Kansiime ni mtanzania?Hukuwahi kumuona hata Kansiime?
Nishawahi visikia uwa anajitahidi sana sana ile style yke ya lip sync kwa mastaa ndo uwa anapatia km ile ya baraka n naj au ile ya picha ya yesu "harmonize nitakupiga makofi"haaaaa lol..
mi huwa ananichekesha... hivi mpenzi wa Madame Sepetu ulishawahi sikiliza vichekesho vyake
kwenye content kasema " sikuwahi kudhani kwamba kuna wanawake wenye kipaji cha comedy", sasa wewe na mimi nani kakurupuka?Umekurupuka Kansiime wa Uganda na mwenzio kasema Katarina No 1 TZ.
Cc:Joti... Siku hizi namchukia sanaWanaboa sana kumbe hawajui wana promoti ushoga..mwanaume kuvaa matambala ya wowowo...this comedeans sucks
Kumbe ni wakenya.. Nakipenda sanaVichekesho vyake vingi ni vya kusikiliza (audio) too much talking....kwa 'stand up' ina work fine...ila kwa video ni kupotezea watu bando bure.
Alafu kwa bahati mbaya Wasanii wachekeshaji wengi Bongo uwezo wao ni kuongea tuu.....yule Pilipili ndio kachukua kipindi cha Wakenya kilichonuiwa kuwa "silent" yeye anajazia sauti....sasa sijui ni nini anafanya maskini ya Mungu.
[emoji81] [emoji81] [emoji81] kwanini mkuumwanaume kuchekeshwa na mwanamke mzuri hivyo unatia aibu
Dada ni shida sana...Habari zenu wakuu,
Asee sikuwahi kudhani kwamba kuna wanawake wenye kipaji cha comedy nimeona kwa Katarina yaani huyu Dada ni shidaa kila nikiangalia vipande vyake vya video nacheka mbavu sina. Alafu cha ajabu haendani na comedy kabisa ..
I just lover her.View attachment 379687View attachment 379688View attachment 379689