LGE2024 Katavi: Asilimia 100 ya Wagombea wa CHADEMA Kata ya Itenka wamewekewa pingamizi

LGE2024 Katavi: Asilimia 100 ya Wagombea wa CHADEMA Kata ya Itenka wamewekewa pingamizi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
CCM wana mambo ya kipumbavu mno sijapata kuona, hawa jamaa wamelewa madaraka na wanaamini wanaweza kufanya chochote kile. Rushwa ya magari na fedha waliyowapa jeshi la Polisi ndio wanaringia humo. Nyie polisi wa vyeo vya chini, acheni ujinga kamwe hamuwezi kunufaika na mgao wa wakubwa. Tumieni akili.
 
Ni kosa kumchekea nyani akiwa kwenye shamba lako la mahindi.
 
Back
Top Bottom