Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Yaani serikali imeshadadia vita utafikiri Tanzania ndio inapigana na Russia.Unbelievable yaani mafuta ya kula ya Korea litre 10 ni 67000/=
Unga wa ngano 25kg ni 44000/=
Sabuni takasa box moja ni 17000/=
Sukari 25kg ni 63000/=
Soda zilianza kuadimika hata kabla ya vita
Na hizo bidhaa zilianza kupanda hata kabla ya vita
Mwaka jana mwezi kama huu wa tatu sukari pekee ndiyo ilipanda mwaka...
Awamu iliyopita bei hazikuwa hivi tuongee ukweli ....Maza anaendezwa na kudanganywa et vita vimetuponza!
Me sijui Chief anatupeleka wap!
Hatari sanaHawaelewi kiti hao maana vitu wanavikuta tu ndani hawanunui hvyo hawawezi wakajua
Na tozo juu.Pamoja na kupata misaada kila kukicha bado bidhaa zinapanda tu
Jumlisha gharama za bando duuuNa tozo juu.
Na kodi bado tunakusanya kama kawaida.Jumlisha gharama za bando duuu
Hizo bei hapo ndounachukulia mjini... Je! mwananchi wa Karema huko, Mwese, Majimoto itakuwajeUnbelievable yaani mafuta ya kula ya Korea litre 10 ni 67000/=
Unga wa ngano 25kg ni 44000/=
Sabuni takasa box moja ni 17000/=
Sukari 25kg ni 63000/=
Soda zilianza kuadimika hata kabla ya vita
Na hizo bidhaa zilianza kupanda hata kabla ya vita
Mwaka jana mwezi kama huu wa tatu sukari pekee ndiyo ilipanda mwaka...
Awamu iliyopita bei hazikuwa hivi tuongee ukweli ....Maza anaendezwa na kudanganywa et vita vimetuponza!
Me sijui Chief anatupeleka wap!
Ni effect za barabara mpya!Unbelievable yaani mafuta ya kula ya Korea litre 10 ni 67000/=
Unga wa ngano 25kg ni 44000/=
Sabuni takasa box moja ni 17000/=
Sukari 25kg ni 63000/=
Soda zilianza kuadimika hata kabla ya vita
Na hizo bidhaa zilianza kupanda hata kabla ya vita
Mwaka jana mwezi kama huu wa tatu sukari pekee ndiyo ilipanda mwaka...
Awamu iliyopita bei hazikuwa hivi tuongee ukweli ....Maza anaendezwa na kudanganywa et vita vimetuponza!
Me sijui Chief anatupeleka wap!
Hana shidaMzee Peter Mizengo Pinda analizungumziaje hili kabla hatujachangia
Daaaa!!hiyo mitaa ni hatari, la PALMA, DIGITAL, na VALENCIA!!, ukiwa maeneo hayo utafikiria labda upo kwenye visiwa vya jamaica huko!!!Uko Mpand mjinisiyo vifah vya ujenzi itakuwaje
Pale papuchi kwa mtaa wa chui na Simba ndio Bei Chee tu
Kwani WAZIRI MKUU MSTAAFU mzee Pinda ambaye ni mzaliwa wa Katavi Anasemaje?Unbelievable yaani mafuta ya kula ya Korea litre 10 ni 67000/=
Unga wa ngano 25kg ni 44000/=
Sabuni takasa box moja ni 17000/=
Sukari 25kg ni 63000/=
Soda zilianza kuadimika hata kabla ya vita
Na hizo bidhaa zilianza kupanda hata kabla ya vita
Mwaka jana mwezi kama huu wa tatu sukari pekee ndiyo ilipanda mwaka...
Awamu iliyopita bei hazikuwa hivi tuongee ukweli ....Maza anaendezwa na kudanganywa et vita vimetuponza!
Me sijui Chief anatupeleka wap!