Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura katika Uchaguzi wa 2020: 41,401 (alishinda dhidi ya Stephen Mertus Hamis wa CUF aliyejipatia kura 2,920)
Elimu
Ndurumo Primary School (1977-1983)
Mgulani JKT Secondary School (1992-1995)
Diploma kutoka Centre for Foreign Relations (2003-2004) na Certificate (2001-2002)
Bachelor’s Degree kutoka Open University of Tanzania (2010-2016)
Uzoefu wa Kazi:
Alihudumu katika Tanzania People’s Defense Forces (1989-2018)
Alifanya kazi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2005-2018)
Uzoefu wa Kisiasa:
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Naibu Waziri wa Katiba na Mambo ya Kisheria kabla ya kuingia kwenye Wizara ya Ardhi
Michango Bungeni:
Pinda ametoa michango 12 na kujibu maswali 184 ya wabunge.
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura katika Uchaguzi wa 2020: 24,202 (alishinda dhidi ya Rhoda Edward Kunchela wa CHADEMA aliyejipatia kura 13,611)
Elimu
Gongoni Primary School (1977-1983)
Ilboru Secondary School na Kazima Secondary School (1984-1990)
Professional Certificate kutoka Police College Moshi (1993)
Basic Certificate in Hotel and Tourism Management kutoka Maruhubi Hotel and Tourism College, Zanzibar (1995-1996)
Bachelor’s Degree kutoka Open University of Tanzania (2012-2017) na ufanisi katika sheria
Uzoefu wa Kazi:
Mkurugenzi wa Katavi Kapufi Co Ltd (1999-2015)
Uzoefu wa Kisiasa:
Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM katika Shule ya Sekondari ya Ilboru (1988-1989)
Mwanachama wa CCM katika ngazi ya wilaya (2000-2005)
Mwenyekiti wa CCM Wilaya (2007-2012)
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya na Halmashauri Kuu ya Mkoa (2012-2017)
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura katika Uchaguzi wa 2020: 35,092 (alishinda dhidi ya Emanuel Sisto Lusumbo wa CHADEMA aliyepata kura 5,350)
Elimu
Mpandago Primary School (1977-1983)
Milala Secondary School (2010-2014)
Chuo cha Ushirika Moshi (2003-2004)
Uzoefu wa Kazi:
Mkurugenzi wa Mpanda Kati Tobacco Growers (2003-2006)
Mkurugenzi wa LATCU Ltd. (2005-2013)
Mjumbe wa Bodi ya Ushirika Dar es Salaam (2005-2014)
Mkurugenzi wa APEX Morogoro (2011-2013)
Uzoefu wa Kimataifa:
Mjumbe wa I.T.G.A World Lisbon (2007-2014)
Mjumbe wa I.T.G.A Africa Malawi (2007-2013)
Michango Bungeni:
Kakoso ametoa jumla ya michango 64 na ameuliza maswali 144.
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura katika Uchaguzi wa 2020: 38,392 (alishinda dhidi ya Philipo John Mallac wa ACT Wazalendo aliyejipatia kura 1,292)
Elimu
Chemchemi Primary School (1973-1979)
Namfua Secondary School (1980-1983)
Mafunzo ya kitaaluma ngazi ya cheti kutoka vyuo viwili (1990-1991) Dr. Amon Nsekele na Iringa
Uzoefu wa Kazi:
Mjumbe wa Bodi ya TANTRADE (2007-2013)
Mjumbe wa Bodi ya Makumbusho ya Taifa (2009-2012)
Katibu wa Benki ya Taifa ya Microfinance (1987-1997)
Karani katika Benki ya Taifa ya Microfinance (1997-2001)
Michango Bungeni:
Lupembe ameongoza michango 36 na ameuliza maswali 67.
1. Geoffrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura katika Uchaguzi wa 2020: 41,401 (alishinda dhidi ya Stephen Mertus Hamis wa CUF aliyejipatia kura 2,920)
Elimu
Ndurumo Primary School (1977-1983)
Mgulani JKT Secondary School (1992-1995)
Diploma kutoka Centre for Foreign Relations (2003-2004) na Certificate (2001-2002)
Bachelor’s Degree kutoka Open University of Tanzania (2010-2016)
Uzoefu wa Kazi:
Alihudumu katika Tanzania People’s Defense Forces (1989-2018)
Alifanya kazi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2005-2018)
Uzoefu wa Kisiasa:
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Naibu Waziri wa Katiba na Mambo ya Kisheria kabla ya kuingia kwenye Wizara ya Ardhi
Michango Bungeni:
Pinda ametoa michango 12 na kujibu maswali 184 ya wabunge.
2. Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda Mjini
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura katika Uchaguzi wa 2020: 24,202 (alishinda dhidi ya Rhoda Edward Kunchela wa CHADEMA aliyejipatia kura 13,611)
Elimu
Gongoni Primary School (1977-1983)
Ilboru Secondary School na Kazima Secondary School (1984-1990)
Professional Certificate kutoka Police College Moshi (1993)
Basic Certificate in Hotel and Tourism Management kutoka Maruhubi Hotel and Tourism College, Zanzibar (1995-1996)
Bachelor’s Degree kutoka Open University of Tanzania (2012-2017) na ufanisi katika sheria
Uzoefu wa Kazi:
Mkurugenzi wa Katavi Kapufi Co Ltd (1999-2015)
Uzoefu wa Kisiasa:
Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM katika Shule ya Sekondari ya Ilboru (1988-1989)
Mwanachama wa CCM katika ngazi ya wilaya (2000-2005)
Mwenyekiti wa CCM Wilaya (2007-2012)
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya na Halmashauri Kuu ya Mkoa (2012-2017)
3. Selemani Moshi Kakoso – Mbunge wa Mpanda Mjini
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura katika Uchaguzi wa 2020: 35,092 (alishinda dhidi ya Emanuel Sisto Lusumbo wa CHADEMA aliyepata kura 5,350)
Elimu
Mpandago Primary School (1977-1983)
Milala Secondary School (2010-2014)
Chuo cha Ushirika Moshi (2003-2004)
Uzoefu wa Kazi:
Mkurugenzi wa Mpanda Kati Tobacco Growers (2003-2006)
Mkurugenzi wa LATCU Ltd. (2005-2013)
Mjumbe wa Bodi ya Ushirika Dar es Salaam (2005-2014)
Mkurugenzi wa APEX Morogoro (2011-2013)
Uzoefu wa Kimataifa:
Mjumbe wa I.T.G.A World Lisbon (2007-2014)
Mjumbe wa I.T.G.A Africa Malawi (2007-2013)
Michango Bungeni:
Kakoso ametoa jumla ya michango 64 na ameuliza maswali 144.
4. Anna Richard Lupembe – Mbunge wa Nsimbo
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura katika Uchaguzi wa 2020: 38,392 (alishinda dhidi ya Philipo John Mallac wa ACT Wazalendo aliyejipatia kura 1,292)
Elimu
Chemchemi Primary School (1973-1979)
Namfua Secondary School (1980-1983)
Mafunzo ya kitaaluma ngazi ya cheti kutoka vyuo viwili (1990-1991) Dr. Amon Nsekele na Iringa
Uzoefu wa Kazi:
Mjumbe wa Bodi ya TANTRADE (2007-2013)
Mjumbe wa Bodi ya Makumbusho ya Taifa (2009-2012)
Katibu wa Benki ya Taifa ya Microfinance (1987-1997)
Karani katika Benki ya Taifa ya Microfinance (1997-2001)
Michango Bungeni:
Lupembe ameongoza michango 36 na ameuliza maswali 67.