Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Bado siku moja kutoka sasa kuelekea katika siku ya uchaguzi wa serikali za mitaa ambao utafanyika Novemba 27, 2024.
Wagombea kutoka vyama mbalimbali wamendelea kunadi sera zao na Ilani ya chama ili wananchi wakafanye hukumu yupi anafaa kuwa kiongozi katika Kitongoji, Kijiji, au Mtaa wao.
==============================
Mwenyekiti wa chama Cha demokrasia na Maendeleo Chadema mkoani Katavi akizungumza wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Novemba 22 Kigamboni Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wagombea kutoka vyama mbalimbali wamendelea kunadi sera zao na Ilani ya chama ili wananchi wakafanye hukumu yupi anafaa kuwa kiongozi katika Kitongoji, Kijiji, au Mtaa wao.
==============================
Mwenyekiti wa chama Cha demokrasia na Maendeleo Chadema mkoani Katavi akizungumza wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Novemba 22 Kigamboni Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024