Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
-
- #21
Sio kuropoka bali ni kuweka wazi kuwa hilo zoezi halitafaulu, tupo wengi sana tunaomiliki passport feki so Ndumbaro na FFU hawawezi kutubaini ππKuropoka huku
Nitakuwepo airport kuwapokea MamelodiTena sio tusubiri mpaka siku ya mechi husika, inabidi mapema tu tukazipokee timu zetu pale julius nyerere
Sio kuropoka bali ni kuweka wazi kuwa hilo zoezi halitafaulu, tupo wengi sana tunaomiliki passport feki so Ndumbaro na FFU hawawezi kutubaini ππ
mambo mengine munamuonea bure. wewe ukimutazama ileile huyu dubaro unamuona ni muzima? huon ana kibichwa sio cha kibinadamu. ebu mutazame dk 45 kisha urudi hapa.Kumbe Ndumbaro ni mwanasheria ππ
Wewe jamaa πππmambo mengine munamuonea bure. wewe ukimutazama ileile huyu dubaro unamuona ni muzima? huon ana kibichwa sio cha kibinadamu. ebu mutazame dk 45 kisha urudi hapa.