Katazo la mifuko ya rambo

Katazo la mifuko ya rambo

Bouja

Senior Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
173
Reaction score
127
Habar wakuu
Nimewaza kwny ili katazo nmeona serikali haikufikilia ki2 kimoja wanapokataza mifuko hii nalo n
Wanatusaidiaje 2naovalia Rambo suluar maana bila lambo utaishia kuchana suluar👌👌
 
Mkuu hiyo ndio ukisikia fursa kwenye matatizo sasa,wewe tengeneza aina ya utelezi bila kujali utatumia bamia au nini ili wavaa visuale vya kubana uwapate.Changamka mkuu wakati wako huu usiishie kuwaza tu
 
Back
Top Bottom