Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Unadanga?Hello Home of Great Thinkers!!
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.
Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.
Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?
Kuna watu wana roho mbaya, kwa wengine!,
Dodoma ipi????!!!Hello Home of Great Thinkers!!
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.
Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.
Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?
Itakuwa walikataa kukukopesha bia, mbona baa zote zipo kwenye makazi, tutajie baa ambazo hazipo kwenye makazi, je, baa hiyo imejengwa baada ya agizo au kabla? Post yako ingeleta hoja kama ungeweka kipimo cha sauti(db) ulichokikuta ukilinganisha na db zilizoruhusiwa ambacho huenda haukijui.Hello Home of Great Thinkers!!
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.
Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.
Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?
Wale waliofungiwa Dodoma ndiyo walikua targeted kwenye lile aagizo la makelele!!Hello Home of Great Thinkers!!
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.
Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.
Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?