Kate, Duchess of Cambrige is pregnant (again)

Kate, Duchess of Cambrige is pregnant (again)

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
DI3nyBZXUAAR0uR.jpg



williamkate.jpg
 
Hii taarifa inanikumbusha kipindi cha ukoloni wa muingereza hapa Tanganyika
 
Duh huyu fala inamaana ana asili ya kipemba nini maana si kwa kumgegeda dada wa watu mfululizo huko chaaa yaani anataka binti wa watu ajutie

SONY Xperia Z5 Premium
 
Hahahaaa huyu jamaa alimwelewa mkuu aliposisitiza tufyatue.
 
Prince anapachika miti tu...safiii!
 
naona hataki kabisa wengine wasogelee crown
 
Hata ningekuwa mimi, ningezalisha tu kila baada ya miaka 2! Watoto na familia yake wala hawalishi yeye na bado wanaishi maisha ya lakshari! Hapo ni kuzalisha tu walipa kodi watatoa hela ya kulea watoto!
 
Nyota ya kijani tupakule, tuzae tu as far as maids kila kona ya nyumba, watoto wana uhakika wa huduma zote asilimia mia .
 
Halafu hawa wazungu koko ndiyo wanataka sisi huku Africa wanaume wawe wanafyatuana while, wakati yeye ona anafyiatua watoto ili watengeneza kiwanda cha watoto kupitia mke wake.

Wazungu koko wanafiki sana.

Whitemen have light skin but, they have black hearts like charcoals.

White race is a pathetic race in this world.
 
Back
Top Bottom